Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi dini zinazoanzishwa kama taasisi za kifamilia zina madudu ya ajabu ajabu sanaNafikiri huu ndio wakati sasa wa kuomba miujiza ishuke tuondokane na hili balaa la hili gonjwa baya linalotisha dunia!Hatusikii tena zile keki za upako wala mafuta!Au hizo keki mmeamua kula wenyewe na mafuta kukanyaga wenyewe??Nafikiri kama hizo keki zina upako kweli huu ndio muda tunazihitaji kuliko muda mwingine!"Huu ndio wakati ufaao kuliko wakati mwingine!
Sent using Jamii Forums mobile app
tumefunga huduma za uponyaji mpaka hapo corona itakapotulia msiwaze sana wapendwa katika bwana
Hiyo ni kwa mujibu wa vitabu vinavyomuelezea huyo Mungu ama vp?Ni kwasababu yanafungamana na dhana ya upendo wote
Kuna habari ilikuwa inaenea TB Joshua kasema Covid-19 itatoweka March 27.Nafikiri huu ndio wakati sasa wa kuomba miujiza ishuke tuondokane na hili balaa la hili gonjwa baya linalotisha dunia!Hatusikii tena zile keki za upako wala mafuta!Au hizo keki mmeamua kula wenyewe na mafuta kukanyaga wenyewe??
Nafikiri kama hizo keki zina upako kweli huu ndio muda tunazihitaji kuliko muda mwingine!"Huu ndio wakati ufaao kuliko wakati mwingine!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaiyo wewe unakubali kuran ni kitabu cha kweli kwasababu yenyewe imesema kua ni kitabu cha kweli?
Ndio,shaka yangu ni uwezo wako wa kupambanua mambo ni mdogo.Hata comment yangu nayo haina shaka, unaweza kunionesha shaka?
Unavyosema "nina mashaka" maana yake wewe ndiyo mwenye shaka na sio comment yanguNdio,shaka yangu ni uwezo wako wa kupambanua mambo ni mdogo.
Mimi ninashaka kuwa wewe umezaliwa nje ya ndoa, na kwa hiyo umekosa upendo wa wazazi wawili wakiwa pamoja nyumbani.
Je unaweza kulikanusha au kuthibitisha
hilo.?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijaelewa sababu iliyopelekea kuniuliza hilo swali.We unavyoona dhana ya uwezo wote inapingana na mungu ambaye amezungumiwa na dini yako?
Thibitisha mungu yupo acha kuhubiriKwa kifupi kuhusu mada yako,
Ni Mungu ndie akipenda atawafunulia wataalamu ujuzu wa kupata dawa.
Na akipenda atayatokomeza maradhi haya duniani koto,lakini kama wanadamu tumepata somo.
Na pia Mungu akitaka anaweza akaangamiza nusu ya population ya dunia na kutubomolea kabisa mifumo yetu ya maisha tuliojije gea .
Ikiwa wewe baso hujaona uwepo wa Mungu, basi huna ufahamu kabisa
Bora,.........
Sent using Jamii Forums mobile app