Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Umejuaje hilo ? Yaani mabaya yanathibitsha vipi kutokuwepo kwa aliye fanya yawepo ?

Kuwepo kwa mabaya kunasababishwa na nini hasa ? Maana kauli yako haina maana, sababu huwezi kuthibitisha unachokidai kwani hakijawahi kuwepo.

Angalizo usijibu hoja kama hujaelewa, bora uulize kwanza kisha ujibu, nakusaidia tu hapa.

Post yako ya namba 1498 umekiri kua mabaya yamesababishwa na mungu

Allah hana sifa ya ubaya hili nimekujibu kitambo,wala haumbi ubaya.
Hapa tena umekana kua hawezi kuumba ubaya

Japo sheria ni yako ila siuachi msumeno, ukijikuna tako usikate kucha kwa meno
 
Jaribu kuwa una unajibu maswali yangu, ili uepushe kukosea kosea.
Madhaifu yanaegemea kwenye ubaya ambao wewe umesema huyo allah ameuumba. Sasa sioni point ya kukimbia maswali kwa kusema kua madhaifu ni uongo ilihali umekubali kua mabaya haya yameumbwa na mungu

Kwa uwezo wake wote alishindwa kuumba ulimwengu ambao hauruhusu mabaya kuwepo? (Jibu lisiseme kifo ni sifa ya kiumbe maana kwa uwezo wote alionao hakuna lakumshinda)

Hata huo udhaifu ambao leo hii tunaujadiri inamaana alishindwa kuumba ulimwengu usio na udhaifu?

Kama hafi basi si muweza wa yote kwasababu kuna mambo hayawezi kuyafanya yako nje ya uwezo wake
 
Binadamu ni wepesi kukata tamaa kwa kuwa akili zao na maarifa ni madogo. Ndio maana ni wepesi kutokuamini Mungu kwa sabubu unataka unachoomba kitokee hapo hapo Lakini Mungu anatufahamu kabla hata hatujamuomba nia zetu,sababu zetu,fikra zetu. Wana wa israeli walikaa jangwani miaka mingi wakimuomba Mungu mpaka walipojibiwa maombi yao. Leo sisi wenye imani haba tunataka tuombe kwa siku moja tujibiwe!! Je tunayaishi yale Mungu anayotaka tuyaishi? Tukumbuke maombi hayaji bila wajibu. Tukumbuke Tunawajibu kabla maombi hayajajibiwa.
Ukimaliza kuhubiri tuthibitishie mungu yupo
 
Binadamu ni wepesi kukata tamaa kwa kuwa akili zao na maarifa ni madogo. Ndio maana ni wepesi kutokuamini Mungu kwa sabubu unataka unachoomba kitokee hapo hapo Lakini Mungu anatufahamu kabla hata hatujamuomba nia zetu,sababu zetu,fikra zetu. Wana wa israeli walikaa jangwani miaka mingi wakimuomba Mungu mpaka walipojibiwa maombi yao. Leo sisi wenye imani haba tunataka tuombe kwa siku moja tujibiwe!! Je tunayaishi yale Mungu anayotaka tuyaishi? Tukumbuke maombi hayaji bila wajibu. Tukumbuke Tunawajibu kabla maombi hayajajibiwa.

Kama Mungu anaufahamu kabla hata hujamuomba ilikuaje aache kujua kwamba Hawa atakula Tunda na kumpa Adam? Ilikuaje asijue kua Nyoka atawadanganya?
 
Post yako ya namba 1498 umekiri kua mabaya yamesababishwa na mungu


Hapa tena umekana kua hawezi kuumba ubaya

Japo sheria ni yako ila siuachi msumeno, ukijikuna tako usikate kucha kwa meno
Ndio maana nikatoa angalizo huko mwanzo, usihoji kabla ya kuelewa hoja na nikakwambia, uwe unajibu maswali.

Maswali yangu yako wazi sana. Soma tena na sijakanusha mzee.
 
Madhaifu yanaegemea kwenye ubaya ambao wewe umesema huyo allah ameuumba. Sasa sioni point ya kukimbia maswali kwa kusema kua madhaifu ni uongo ilihali umekubali kua mabaya haya yameumbwa na mungu
Nimesema wapi Allah ameumba mabaya ?
 
Kwa uwezo wake wote alishindwa kuumba ulimwengu ambao hauruhusu mabaya kuwepo? (Jibu lisiseme kifo ni sifa ya kiumbe maana kwa uwezo wote alionao hakuna lakumshinda)
Hapa, unazidi kukosea ushaambiwa ni muweza, wa yote kwahiyo kutokufanya kwake jambo fulani hakusemwi ameshindwa bali hajataka, hili nilikwambia, jana lakini naona, unarudia rudia jambo ulilojibiwa.

Kaka hii kazi huiwezi ndio maana hujibu maswali unayo ulizwa.
 
Hata huo udhaifu ambao leo hii tunaujadiri inamaana alishindwa
Huko hakuitwi kushindwa,mwenye sifa ya ukamilifu ujue hana sifa ya kushindwa, ila hajataka iwe hivyo lau angetaka ingekuwa.
 
Ndio maana nikatoa angalizo huko mwanzo, usihoji kabla ya kuelewa hoja na nikakwambia, uwe unajibu maswali.

Maswali yangu yako wazi sana. Soma tena na sijakanusha mzee.
Unajichanganya sana hueleweki unatetea nini

Mungu asiye na sifa ya ubaya kafanya ubaya uwepo, at the same time unakana kua hajaumba ubaya what the fvck?
 
Unajichanganya sana hueleweki unatetea nini

Mungu asiye na sifa ya ubaya kafanya ubaya uwepo, at the same time unakana kua hajaumba ubaya what the fvck?
Kijana, ukiambiwa, hujibu, maswali hujibu, kisha unaandika ujinga, nimekwambia Allah hafanyi ubaya.

Uliulizwa, kwakoubayani upi na yapi yanasababisha ubaya, hukujibhu. Huu ni ujinga wa kitoto sana, kuuliza maswali ambayo yana majibu naumeshajibhiwa.
Kijana, nakusaidia tena na tena kabla hujajenga hoja elewa kwanza.

Allah hafanyi ubaya kwa waja wake. Tuambie wewe sasa huo ubaya unasababishwa na nini na ni upi ubaya ? Shida yako hujibu maswali, yangekusaidia sana.
 
Unajichanganya sana hueleweki unatetea nini

Mungu asiye na sifa ya ubaya kafanya ubaya uwepo, at the same time unakana kua hajaumba ubaya what the fvck?
Pili, onyesha nilipo jichanganya,kisha parekekebishe, ukiweza,hilo naacha kujadili huu mjadala.
 
Kijana, ukiambiwa, hujibu, maswali hujibu, kisha unaandika ujinga, nimekwambia Allah hafanyi ubaya.

Uliulizwa, kwakoubayani upi na yapi yanasababisha ubaya, hukujibhu. Huu ni ujinga wa kitoto sana, kuuliza maswali ambayo yana majibu naumeshajibhiwa.
Kijana, nakusaidia tena na tena kabla hujajenga hoja elewa kwanza.

Allah hafanyi ubaya kwa waja wake. Tuambie wewe sasa huo ubaya unasababishwa na nini na ni upi ubaya ? Shida yako hujibu maswali, yangekusaidia sana.
Unajichanganya sana

Ulisema allah ameumba mabaya maana yasingekuwepo asingekuwa mwenye wezo wote.

Nikakuuliza kwaiyo mungu alishindwa kuumba ulimwengu ambao hauna mabaya na bado akawa muweza yote. Hujajibu

Kama uweza wa mungu unajumuisha pamoja na mabaya, je allah anaweza kujiua?

Allah kwa uwezo wake wote anaweza kuumba jiwe zito ambalo hawezi kulibeba?

Akiweza kuumba jiwe hilo, hatakua muweza wa yote kwasababu kuna jiwe hawezi kulibeba

Akishindwa kuumba jiwe hilo, bado sio muweza wa yote kwasababu kuna jiwe kashindwa kuliumba.

Unaweza kujibu maswali hayo?

It's Scars
 
Unajichanganya sana

Ulisema allah ameumba mabaya maana yasingekuwepo asingekuwa mwenye wezo wote.

Nikakuuliza kwaiyo mungu alishindwa kuumba ulimwengu ambao hauna mabaya na bado akawa muweza yote. Hujajibu

Kama uweza wa mungu unajumuisha pamoja na mabaya, je allah anaweza kujiua?

Allah kwa uwezo wake wote anaweza kuumba jiwe zito ambalo hawezi kulibeba?

Akiweza kuumba jiwe hilo, hatakua muweza wa yote kwasababu kuna jiwe hawezi kulibeba

Akishindwa kuumba jiwe hilo, bado sio muweza wa yote kwasababu kuna jiwe kashindwa kuliumba.

Unaweza kujibu maswali hayo?

It's Scars
Unaposema najichanganya kisha huonyeshi hilo, wewe ndio unae jichanganya.

Nilikuuliza kuwepo kwa mabaya kunathibitisha vipi kutokuwepo kwa Allah, hili swali hujaibu.

Kuhusu kuumba jiwe, nilikujibu kwa kukwambia hili swali la uongo, sababu Allah hana sifa ya kushindwa na hakuna kilicho juu ya uwezo wake mzee. Kwa maana hilo ja hilo jambk halipo.

Nikakwambia maana ya muweza wa yote, ni kwamba anafanya anachotaka na hana sifa ya kushindwa, na nikakupa ziada ya kuwa Allah amejiharamishia dhulma kwa waja wake, yaani hadhulumu, sasa ukisema ameshindwa kudhulumu huku ni kupindisha hoja na kukimbia, hana sifa ya kudhulumu, vipi adhulumu ?

Kijana hakuna swali ambalo sijajibu, ila nakudai mzee.
 
Back
Top Bottom