Corona: Kenya hali ni mbaya sana. Serikali huenda ikasalimu amri hivi karibuni

Wewe ni mpumbavu!Unafikiri kuwa Corona inaweza ikawa hapo kenya/ikaangamiza hapo Kenya halafu isiwe hapa Tanzania?!Ukishakuwa mwana CCM ni laana kuwa ni lazima uwe mbumbumbu?
 
Wewe ni mpumbavu!Unafikiri kuwa Corona inaweza ikawa hapo kenya/ikaangamiza hapo Kenya halafu isiwe hapa Tanzania?!Ukishakuwa mwana CCM ni laana kuwa ni lazima uwe mbumbumbu?
Itakua bado unakula Kwa mamayako wewe maana maneno unayoongea tu unaonyesha dhahir hata tonge lako huwez kutafuta kutokana na kiwango cha akili uliokua nayo ,kwani umeambiwa kitu kikiwepo Kenya ndio lazima kiwepo Tanzania au unawaza Kwa kutumia tope la makalio . Kenya kuna nzige mbona Tanzania hamna , Kenya kuna njaa mbona Tanzania hamna , Kenya kuna ukabila mbona Tanzania hamna , mfano mwengine DRC kongo kuna Ebora mbona Rwanda na Burundi hamna , unatakiwa uwaze Kwa kutumia kichwa
 

Unachekesha sana mkuu!Unaelewa maana ya ugonjwa kuwa pandemic?Unalinganisha ukabila,njaa,ebola,nzige na Corona ambayo ni pandemic?!Umeona ulivyothibitisha mwenyewe kuwa wewe ni mpumbavu sasa?Ninyi ndiyo mnang'ang'ania kuongoza nchi kwa akili hizi za kulinganisha njaa na ugonjwa ambao ni pandemic?!
 
Kwahiyo wanaomba waong3zeke ili misaada izidi, wanatembeza bakuli omba omba. Kweli umasikini ni laana
 
Wewe ni mpumbavu!Unafikiri kuwa Corona inaweza ikawa hapo kenya/ikaangamiza hapo Kenya halafu isiwe hapa Tanzania?!Ukishakuwa mwana CCM ni laana kuwa ni lazima uwe mbumbumbu?
Mbona Kenya kuna locust, njaa, ujambazi, terrorists, tribalism, crime, slums, nepotism and land grabbers lakini Tanzania hakuna hata moja, vipi unashangaa kuhusu Corona. Vipi South Afrika wanakufa kwa maelfu lakini Botswana hali ni shwari?.
 
Mbona Kenya kuna locust, njaa, ujambazi, terrorists, tribalism, crime, slums, nepotism and land grabbers lakini Tanzania hakuna hata moja, vipi unashangaa kuhusu Corona. Vipi South Afrika wanakufa kwa maelfu lakini Botswana hali ni shwari?.
Unachekesha sana mkuu!Unaelewa maana ya ugonjwa kuwa pandemic?Unalinganisha ukabila,ugaidi,ujambazi,uhalifu na Corona ambayo ni pandemic?!Umeona ulivyothibitisha mwenyewe kuwa wewe ni mpumbavu sasa?Ninyi ndiyo mnang'ang'ania kuongoza nchi kwa akili hizi za kulinganisha ujambazi na Corona ambayo ni pandemic?!
 
Kwani nchi zote zimeathirika?, bado zipo nchi nyingi tu hapa duniani haziharipoti hata mgonjwa mmoja, Pandemic maana yake ni mlipuko uliozikumba nchi nyingi za dunia kwa wakati mmoja, haina maana ya nchi zote duniani.
 
Kwahiyo hao nzige kila cku wapo huko kwenyu mushawazoea kwenu sio janga kubwa maana mpaka India wanawasumbua
 
Kwani nchi zote zimeathirika?, bado zipo nchi nyingi tu hapa duniani hazijaripoti hata mgonjwa mmoja, Pandemic maana yake ni mlipuko uliozikumba nchi nyingi za dunia kwa wakati mmoja, haina maana ya nchi zote duniani. Wewe ni kiongozi wa mabwege na mapumbavu hapa JF. Hujui lolote kuhusu neno Pandemic, mpumbavu mkubwa wewe
 
Kwan maana ya pandemic inamaanisha lazima Kwa kila nchi itaathirika sawa kama nchi zengine zilizoathilika zaidi?
 

Unaelewa kuwa nchi kutokuripoti hata mgonjwa mmoja siyo kithibitisho cha kisayansi kuwa hiyo nchi haijakumbwa na Corona?Unaelewa kuwa suala la kuripoti visa vya Corona ni la kisiasa na ni la uamuzi wa nchi tu?Yaani nchi fulani inaweza kuamua kutangaza visa sahihi au ikaamua kutangaza visa ambavyo siyo sahihi?
 
Maana wewe umeuliza swali la kipumbavu eti ugonjwa uwe Kenya Tanzania kue hakuna ndio maana nikakutolea mfano huo wa nzige mbona Tanzania ipo karibu na Kenya lakin hamna bc usishangae ukiambiwa korona Tanzania ipo ila Kwa kiwango kidogo Sana na pia sisi wagonjwa tunawatibia wanapona ila ninyi akili zenu zimelala Kwa mzungu munasubiri dawa ya mzungu munapima tu bc
 
Hata huku Tz ipo na inaua! Tofauti yetu na Kenya ni kwamba sisi tumeamua kuficha ndio maana unaona kama hamna maambukizi.
Tuombe Mungu tu hili janga lipite ama ipatikane chanjo
Naona mafisadi magu kawaminya pumb*u mnagugumia tu ,wakati wenu umekwisha subirini kufa tu
Kama mnaogopa korona Jinyongeni sisi tunasema KORONA NI RAFIKI YETU TUTA KULA NAYE NA KULALA NAYE NA KUCHEZA NAYE .
 
Unaelewa kuwa nchi kutokuripoti hata mgonjwa mmoja siyo kithibitisho cha kisayansi kuwa hiyo nchi haijakubwa na Corona?Unaelewa kuwa suala la kuripoti visa vya Corona ni la kisiasa na ni la uamuzi wa nchi tu?
Wewe wacha ujinga wako, sisi wote sio wavuta bhangi kama wewe, kwanini unakua mpumbavu kiasi hicho?, Mara useme Pandemic, umebanwa huko unaleta blah, blah za kisiasa, wacha ujinga wewe.

Pandemic haina maana nchi zote zitaathirika duniani, haijawahi kutokea Pandemic yoyote ile ambayo nchi zote duniani zimeathirika, lazima kuna nchi zinapona.

Haina maana kwamba nchi Jirani ikiathirika, lazima nayo pia ipate maambukizi, hata kama itapata maambukizi, sio lazima maambukizi yalingane.

South Africa inaongoza kwa maambukizi, Afrika, lakini majirani zake wote, ikiwemo Lesotho ambayo inezungukwa na South Afrika, hata 100 hawajafikisha.

Jaribu kutumia akili wacha kujiaibisha.
 
Kwan maana ya pandemic inamaanisha lazima Kwa kila nchi itaathirika sawa kama nchi zengine zilizoathilika zaidi?
Upo sahihi,maana ya pandemic ni kwamba zile nchi ambazo hazichukui hatua stahiki kama Tanzania zitaathirika sana na zile ambazo zinajitahidi kuchukua hatua stahiki kama Kenya zitaathirika kidogo
 
Upo sahihi,maana ya pandemic ni kwamba zile nchi ambazo hazichukui hatua stahiki kama Tanzania zitaathirika sana na zile ambazo zinajitahidi kuchukua hatua stahiki kama Kenya zitaathirika kidogo
 
Wewe ni mpumbavu!Unafikiri kuwa Corona inaweza ikawa hapo kenya/ikaangamiza hapo Kenya halafu isiwe hapa Tanzania?!Ukishakuwa mwana CCM ni laana kuwa ni lazima uwe mbumbumbu?
Nasikia tz wamekufa watu 240000 ? Chadema wamesema na wagonjwa laki 8
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…