Aiseee nilifikiri uko serious na hii issue ya chanjo, kumbe umeanzisha thread ili ufanye utani, basi endelea na jokes za hii thread yako ya kimagumashi!
Sisi hatuna mpango na corona yenu kwani hujatuona barabarani wakati wa kumuaga Jemedari wetu? Angali video clip hii hapa chini.Vipi biashara ya nyungu @ 5,000/person bado inalipa?
View attachment 1735937
Kama Manju mwenyewe ndiyo huyo kungali na usalama kweri?
Nielewesheni.
Mbona sasa wanaomchanja wamevaa barakoa? maana hao pia walishachanja chanjo inakuaje qavae barakoa
Sisi hatuna mpango na corona yenu kwani hujatuona barabarani wakati wa kumuaga Jemedari wetu? Angali video clip hii hapa chini.
View attachment 1735944
Tushawazoea na propaganda zenuNinapata taabu na neno sisi yaani ninyi. Una maana ni hawa hapa?
View attachment 1735948
Kama ni hao nani asiyejua mko vizuri?
Wengine sisi humo hatumo jombi!
Kenyatta ni mlevi flani tu. Tena Kironiki alcoholic. Unao uhakika hiyo ni chanjo ya corona? Kama kadungwa water for injection kugeresha wananchi wake na wajinga wengine wa EA na Afrika.kwa ujumla?
Huyu hakuwa na mpango wa kuja Tanzania kuhani. Alishazunguka Nairobi na msafara wake akaenda ubalozini kutia sahihi kitabu cha kumuomboleza JPM akiwa na baadhi ya wapambe.
Alipona nyomi ya waombolezaji hapa Tanzania akaiona ile ni fursa, ghafla akaja Dodoma. Dodoma akasikia azana akaiheshimu kwa kumuiga mtu anatwa Najibu Balala ambaye alishafanya hivyo huko kipindi cha nyuma Kenya na hii ikawa moja ya tabia za kuigwa Kenya.
Kachanjwa chanjo ambayo na amini ni chanjo geresha/placebo tena kasubiria siku JPM anazikwa Chato. Wakijua watawapata wengi siku hiyo wakiwemo waliovutiwa na kitendo chake cha kupisha adhana, ili kutangaza huu upuuzi wao na wapiga deal wenzake wakina Bill Gates katika kukuza soko lao la kuuza chanjo za kumaliza kizazi cha Waafrika, barakoa, vipima joto na vifaa tiba vingine.
Tushawazoea na propaganda zenu
Ass
Sisi huku imewatafuna vigogo wa ikulu
Vipi na wazazi wako wameondoka na corona? Pole sana mkuu.Wengine wako hapa:
View attachment 1735977
Ila si ikulu tu hata uswahilini kwetu mbona ni kama tunapumulia mashine tu?
oh kwahiyo kwa kitambo hicho cha wiki 4Wanaochanja wapo kwenye group linalokutana na possible cases nyingi.
Kumbuka pia chanjo inakamilika baada ya kupata jab ya pili ambayo inatolewa angalau wiki 4 baada ya jab ya mwanzo.
Kwani pia umesahau kuwa tangu kenya waanze kuchanja wiki 4 bado hazijatimia?
Vipi na wazazi wako wameondoka na corona? Pole sana mkuu.
oh kwahiyo kwa kitambo hicho cha wiki 4
baada ya hapo watachoma ingine ndio kinga iwe kamili sasa?
Kuna watu wasipotamka corona hawapati usingizi.Mkuu usijibizane na hili zwazwa lina ugonjwa wa kuiwaza Corona masaa 24. Alisikitika wiki nzima story zilipokuwa ni msiba wa JPM tu. Sasa hivi karudi tena na Corona yake.
Na maana mama yako na baba yako wa kukuzaa.Hata jiwe ni mzazi wetu au wewe hakuhusu?
Na maana mama yako na baba yako wa kukuzaa.