BIN NUN
JF-Expert Member
- May 23, 2014
- 3,477
- 7,085
Waziri upo serous kwelii!!!!?
Kuwa mgonjwa anaendelea vizuri?
Anyway hapa kuna namna katika ugonjwa huu.
Tuambieni mgonjwa alikuwa hoteli gani na je mmechukua hatua zozote juu ya wahudum wa hoteli aliyokuwepo? maana hata kushika mlango tu ni njia ya kuambukiza je mlango alokuwa ameushika wahudum hawaushika?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa mgonjwa anaendelea vizuri?
Anyway hapa kuna namna katika ugonjwa huu.
Tuambieni mgonjwa alikuwa hoteli gani na je mmechukua hatua zozote juu ya wahudum wa hoteli aliyokuwepo? maana hata kushika mlango tu ni njia ya kuambukiza je mlango alokuwa ameushika wahudum hawaushika?
Sent using Jamii Forums mobile app