Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Ok, mpaka waje wawapate huko waliko, CORONA itakuwa ishasambaa sana... tracing speed ni ndogo by far ukilinganisha na speed ya CORONA kueneaWanaweza ku-trace contacts wote, kuanzia kwenye ndege(walioshuka KIA) hadi alipojipeleka hospital