Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo yanazidi kuwa mengi huku muda ukiwa mchache.
Kama wababe Russia wanahairisha uchaguzi sababu ya Corona sisi ni nani hadi tufanikishe?
Najiuliza tu makamanda, tuvumiliane.
Maendeleo hayana vyama!
Ninafikiri inawezekana Bunge likae kujadili uwezekano wa kuufuta uchaguzi huu wa mwaka 2020, ukizingatia uwepo wa maradhi ya COVID-19 pamoja na ukosefu wa pesa ili angalau tuweze kujikongoja katika kuendelea na kumalizia miradi tulioianzisha, maana hata demokrasia yenyewe siioni. Tuendelee tu na viongozi waliopo.
Naomba msinielewe vibaya, ni upendo tu kwa nchi yangu Tanzania.View attachment 1405795
Sent from my TECNO LA6 using JamiiForums mobile app
Unajua unachokisema lakini?!Kama uchaguzi ukiahirishwa nashauri jeshi ndio liongoze nchi mpaka hapo uchaguzi mwingine utakapotokea!
Unajua unachokisema lakini?!
Mkuu, jikite kwenye mada. Hiyo hoja nyepesi ni ipi na ushauri wakp ni upi.Umelipwa buku 7 kwa hoja nyepesi
Ndio!Unajua unachokisema lakini?!
Hongera!Ndio!