Uchaguzi 2020 Corona virus: Uchaguzi 2020 kuahirishwa?

Uchaguzi 2020 Corona virus: Uchaguzi 2020 kuahirishwa?

Hapa kwetu uchaguzi mkuu ni oktoba na raisi alishaweka wazi kuwa uchaguzi hautahairishwa hata kama ugonjwa wa corona utaendelea kuwepo.

na hilo alilisema kama jibu kwa wale wengi waliokuwa na dhana au wasiwasi labda uchaguzi unaweza kuahirishwa kwa kisingizio cha ugonjwa wa corona na Raisi aliyeopo akapata na nafasi ya kusalia mamlakani.

Hayo yalikuwa ni maneno ya raisi,sasa hapa nimeonelea tugeukie kwa wadau kidogo kupata maoni yao.

SWALI NI JE:UCHAGUZI UFANYIKE AU UHAIRISHWE.

majibu yanayotakiwa ni mawili NDIO au HAPANA!

Karibuni ,usisahau kunawa mikono yako kwa maji tiririka na sabuni bila kusahau kuvaa barakoa!
 
Maisha mtanzania kwanza siasa baadae UAHIRISHWE
 
Nawamba watanzania tukubalie tuu, uchaguzi wa urais, usiwepo, ila uchaguzi wabunge na madiwani ufanyike mwakani kwenye majimbo na kata zao tuu. Anaye afiki aseme NDIYO na asie Afiki aseme HAPANA. Pigeni kura hapa:

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magufuli atawale milele, Magufuli kaishinda korona, kawashinda mabeberu 🐐🐐🐐🐐🐐🐐🐐🐐🐐🐐🐐🐐🐐🐐🐐🐐🐐🐐🐐 atawale milele, mtukufu rais, kaokota makinikia bandarini, kaokota vichwa vya matreni, katupa na zawadi ya nyungu, Hadi China na Marekani wanatuonea gere
 
Nawamba watanzania tukubalie tuu, uchaguzi wa urais, usiwepo, ila uchaguzi wabunge na madiwani ufanyike mwakani kwenye majimbo na kata zao tuu. Anaye afiki aseme NDIYO na asie Afiki aseme HAPANA. Pigeni kura hapa:

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyuzi za ajabu kama hizi Mods huwa mnaziacha zina trend tu
 
Nawamba watanzania tukubalie tuu, uchaguzi wa urais, usiwepo, ila uchaguzi wabunge na madiwani ufanyike mwakani kwenye majimbo na kata zao tuu. Anaye afiki aseme NDIYO na asie Afiki aseme HAPANA. Pigeni kura hapa:

Sent using Jamii Forums mobile app
Labda aendelee nyumbani kwenu "yule" akae pembeni, siyo Tanzania, tutafuata katiba inaemaje
 
Hivi mtu aliyeongelea hadharani tafiti zake za papai mnadhani anashindwa akiamua?.
 
Magufuli atawale milele, Magufuli kaishinda korona, kawashinda mabeberu 🐐🐐🐐🐐🐐🐐🐐🐐🐐🐐🐐🐐🐐🐐🐐🐐🐐🐐🐐 atawale milele, mtukufu rais, kaleta nyungu, kaokota vichwa vya matreni, kaleta msamiati was makinikia....
 
Kwa kuwa Znz ndio wameathirika zaid na corona pamoja na Sector ya Utalii ambayo ndio uti wao wa mgongo nadhan ingetosha iruhusiwe Kamati kuu ya Ccm kuteua Rais wa Znz kwa dharura hii kama iliyotokea Znz Jan 6, 1984 ambapo Mzee Mwinyi aliteuliwa kuwa Rais wa Znz sio kuwa Mgombea


Huku Bara wapiga kura wanataka kuathibu Wabunge ambao ni mawakala wa wasambaza Covid so uchaguzi wa Wabunge usiahirishwe
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunataka Uchaguzi ufanyike ili tuifute Chadema wasije na visingizio
 
kwa akili za lumumba unafikiri uchaguzi mkuu na ni kwa ajili ya kumchagua rais tu?
 
Uchaguzi uwepo tuwagaragaze chadema Kama uchaguzi mdogo uliopita

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Tabutupu,
Mda wote mnawaza Corona tu, nani kakwambia corona inaenea kila mahali, huyo kirusi ni kiumbe kama wewe ili aishi anategemea hali joto, anaenea nchi za baridi kipindi cha baridi kali lkn kwenye maeneo yenye joto hawezi kuishi. Kwa hiyo achana na hayo mawazo yako.
Kwa maana hiyo uchaguzi ufanyike da'slam tuu na maeneo yenye joto kama pwani na maeneo mengine kama hayo?
 
Sasa inaonekana Corona si tatizo ila ukifika wakati wa karibia na uchaguzi Corona itaonekana ni kikwazo.uchaguzi utaahirishwa kwa muda usiojulikana.

Sasa hivi inaonekana Taifa lina pesa hata kuweza kuwa Donor Country ukifika wakati wenyewe hakutakuwa na pesa na ukweli utadhihilika tu.

Wabunge waliopo watashukuru kuendelea na Ubunge na Mawaziri pia.

Serikali itaendelea kuwa Madarakani Until Further Notice.
 
Back
Top Bottom