#COVID19 Coronavirus: Fahamu kiundani kuhusu Virusi hivi | Usambaaji, Dalili na Kinga

#COVID19 Coronavirus: Fahamu kiundani kuhusu Virusi hivi | Usambaaji, Dalili na Kinga

Status
Not open for further replies.
the adhaan today in Kuwait was changed due to the coronavirus. instead of “hayya alas-salah” (come to prayer), the muadhin says “al-salatu fi buyutikum” (pray in your homes). this was done in the time of the Prophet Muhammad (ﷺ) during heavy rain and wind.
Imekaa vizuri!
 
Viongozi Wawe Na Kiasi Hasa Hasa Wanapotoa Matamko Vinginevyo Wataleta Taharuki
 
Hii ipo vizuri

the adhaan today in Kuwait was changed due to the coronavirus. instead of “hayya alas-salah” (come to prayer), the muadhin says “al-salatu fi buyutikum” (pray in your homes). this was done in the time of the Prophet Muhammad (ﷺ) during heavy rain and wind.
 
Zimeelekezwa kwenye bajeti ya wizara ya mambo ya ndani
 
mnhhhh mods kulikua na ulazima wa kuunganisha topic yangu humu???powa tu, fanyeni mnavyotaka nyie ni wakuu
 
Juzi nimeenda kamanga feri kwenye kivuko cha Kamanga Feri, kuna mtu pale nilimkuta ameshika kipima joto

Mtu mwenyewe ukimtazama ni kama kachukuliwa kibarua mmoja kutoka kwenye site za wachina akifanya kazi za udongo, mchafu eti anamulika watu na ka kifaa.

Kama mtu hafanyi hata personal hygiene, hivi kweli huyu anajua kile anachokifanya na kina maana gani? Anajua risk iliyopo?

Ninaamini wapo madaktari, manesi, wafamasia wasiokuwa na ajira na serikali itoe mwongozo kuwatumia hawa.

Hawa wakisikia habari zinazoendelea maeneo kama Italia, Spain ambako wanasema wameanza kuchagua nani atibiwe nani asitibiwe watajua risk iliyopo na watajiongeza katika kazi hii kuliko kumuweka mtu hajui anachokifanya ili mradi kucheki temperature tu.
 
Yani hapa nilipo naangaika kutafuta kuambukizwa KoronaViruus. Si unajua tena miili yetu imezoea Magonjwa yalex2 kipindu×2 maleria n.k. Ni vizuri cells za mwili zipate changamoto kwa kitu kipya kinachotrend kwa sasa duniani.

Don't let the current event pass you!
 
Mtusaidie wakuu.

Wale mabingwa wanaitwa virusi tuliwahi kuambiwa huko shule ya msingi kuwa huwa hawafi.

Sasa inakkuwaje tena tunasema mtu kapona virusi vya korona.

Nilitegemea tuseme kapona magonjwa nyemelezi yaletwayo na corona, au virusi vya korona vimewekwa karantini na seli hai walinzi wa mwili havina ujanja tena.

Wakuu natumia elimu yangu ya darasa la saba, sayansi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom