#COVID19 Coronavirus: Fahamu kiundani kuhusu Virusi hivi | Usambaaji, Dalili na Kinga

#COVID19 Coronavirus: Fahamu kiundani kuhusu Virusi hivi | Usambaaji, Dalili na Kinga

Status
Not open for further replies.
Elimu hiyo hiyo, mwl WANGU wa Sayansi alinifundisha virusi havifi ndo maana havina dawa.

Kupona kwa mgonjwa aliye na virusi ni pale virusi hivyo vinapokuwa vimepevuka vinaisha.( Mafua)
 
Elimu hiyo hiyo, mwl WANGU wa Sayansi alinifundisha virusi havifi ndo maana havina dawa.

Kupona kwa mgonjwa aliye na virusi ni pale virusi hivyo vinapokuwa vimepevuka vinaisha.( Mafua)
Haviishi ni kuwa mwili wako unaweka condition ya kuvifanya either visiongezeke kusababisha madhari au visifanye kazi kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila kilichohai lazima kife. Ila kirusi huonyesha uhai kinapokuwa ndani ya host tu, kikiwa nje ni kama kimekufa, maana yake kirusi si kiumbe hai kamili
 
Huwezi ku generalize kihivyo , ni kuwa wanaonyesha sifa zote mbili ya hai(kwa kujizalisha) akiwa ndani ya host cell na kutokuwa hai kwa kuweza kubaki kwenye inactive state akiwa nje ya host cell

Sent using Jamii Forums mobile app
So ume admit kuwa virus hayupo hai in the first place?

Au maana ya "in the first place" huielewi? Au umeamua ku ignore hayo maneno?
 
1584605123169.png
Huyo mwalimu bado yupo au kashapendwa zaidi
 
Ukiifuata sayansi ina mambo mengi tu yasiyothibishwa. Mengi ni ya mtu katunga. Iko hivi “WANASAYANSI WENGI TUNAOWAAMINI ILIKUWA ANAPOTAFIT KITU,AKIFIKIA MWISHO WA UTAFIT WAKE HAPATI MAJIBU ANAAMUA KUWEKE KITU CHA KUTUNGA KWAMBA NDIO UKWELI”.

Lakini kadiri dunia inavyoendelea mbele na uvumbuzi mwingine ukapatikana juu ya ule uliotungwa,wanaogopa kuweka wazi huo ulio juu ya ule mwingine, kwa sababu ya wengi kuamini na ule kwanza. Lakini kwa ujumla sayansi ina sehemu nyingi sana zinaongopa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hasa kipindi hiki ambacho wafanyabiashara wameona fursa. Huwa nachukia sana mtu kunigeuza fursa, kitu ambacho kinauzwa 1000 sasa hivi niuziwe 5000 kisa tu nijikinge na homa ya mafua(corona).

Si vibaya kujikinga but kugeuzwa fursa kwa issue ndogo tu ya mafua mimi hiyo hapana.
 
Inawezekana dawa tayari ipo Hydroxychloroquine na chloroquine hizi za malaria zinaelekea kutibu Corona. Na leo Trump karuhusu zitumike Marekani baada ya kuponyesha. Nashauri kanunue kabla ya kuisha madukani watu wataanza kuuza kwenye mitandao hasa EU ambako hazipo. vilevile serikali ihakikishe dawa hazitoki nje
 
Serikali imewataka wakazi wa Moshi kuacha kukimbilia magari ya wagonjwa yaendayo Mawenzi kwa lengo la kuwashuhudia wagonjwa wa Corona.

Mratibu wa maabara Bi Tedy Msaki amewataka wananchi hao kuwa makini na afya zao na waache utoto wa kukimbilia ambulance.

Source ITV habari.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom