Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We determine on majority basis acha kutuona Watanzania vilazaKwani Moshi kuna wazaliwa wa Kilimanjaro tu?!
Hahahaaaaa.........anaukataa mji wake?We determine on majority basis acha kutuona Watanzania vilaza
Kwahiyo Dar ni ya wazaramo?We determine on majority basis acha kutuona Watanzania vilaza
Ndio ujue sasa!
Wewe unadhani ni ya nani?!Kwahiyo Dar ni ya wazaramo?
Ya wakolomije, mazwazwa.Wewe unadhani ni ya nani?!
Hujakosea akina Rupia walitokea sukumaland!Ya wakolomije, mazwazwa.
Case ya Dar ni exception sio kama Moshi usinichoshe niko shambani nenda ufipani ukaendelea na maandamanoWe determine on majority basis acha kutuona Watanzania vilaza
Isabelatangu corona itokee kumekuwa na tabia za watu
Kujifanya kutokea kwenye vimedia na kudai Wana corona....
Naomba au itakuwa vizuri pia kama ikitokea watu/mtu ameambukizwa ama amekutwa na virusi vya ukimwi aka ngoma nao wajitangaze hivyo hivyo......
Huwa najiuliza mbona wabongo wakiwapata ukimwi hawajitangazi hivyooo ila kwenye corona
Haoooo faster kwnye mediaaaaa????
Uzi tayari
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app