Halaiser
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 4,230
- 6,653
Hata mimi niliwaza hivyo.Wanaojitangaza wana baraka za wakubwa Kwa malengo maalumu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi niliwaza hivyo.Wanaojitangaza wana baraka za wakubwa Kwa malengo maalumu.
Mbona huko Ulaya na America wanajitangaza? Collum Hudson Odoi wa Chelsea alijitangaza, Idris Elba kajitangaza, Kevin Durant kajitangaza pia, tena wote kupitia social media, wakifanya wabongo mnawasema, wasemeni na hao basiBongo kila kitu ni fasheni
Mahaba yakipitiliza unakuwa upunguani!View attachment 1393864
Dawa za kukabiliana na virusi zimependekezwa na watafiti kutoka Chuo kikuu cha Ural Federal, Urusi kuwatibu wagonjwa wenye virusi vya corona
Angetugea masks bure kama ambavyo aliwahi kutugea nini?!
Hapo sawa, manake nilisahau manake hata bush kwetu alipeleka malori zaidi ya 17 yaliyojaa nguzo za umeme na vifaa vya wiring.Umeme wa REA
Sent from my iPhone using JamiiForums
Konyagi mixer kvant tu sanitizer yng[emoji23][emoji23][emoji23]mrangi,
Hahaha,,,,, una akili ya kirussia japo sioni apo sminoff