DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Mchaga pekee mwenye moyo wa kutoa misaadaWakuu
Huyu mzee wetu angekua hai leo maskini tusingevaa magazeti kama mask angeshaita watu kibao na mask tungevaa za bure.
Huyu ndio tajiri ambae alikua mtanzania halisi mwenye msaada.
Waliobaki wengine ndio kwanza wamejikausha tunasubiri tamko lolote holaa wapo wapo tu sijui wanawaza nini?
Au hawaoni kama koroma ishafika na wanatakiwa kutulinda afya zetu sijui wakoje?
Sent from my iPhone using JamiiForums
According to Makonda