#COVID19 Coronavirus: Fahamu kiundani kuhusu Virusi hivi | Usambaaji, Dalili na Kinga

Status
Not open for further replies.
Mchaga pekee mwenye moyo wa kutoa misaada
According to Makonda
 
Mwanaume kupenda mteremko ni kosa kubwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angetugea masks bure kama ambavyo aliwahi kutugea nini?!
Miaka ya 90s mkoani Shinyanga Mengi alituwekea TV kubwa sana.Tulikuwa tukitoka vitongoji mbalimbali tukienda kuangalua kombe la dunia 1994 marekani. Tukio nalokumbuka katika kombe lile Nigeria vs Argentina.

Nigeria walianza kufunga baba lao Maradona alipata free kick akasawazisha.Ndani ya nyumba alikuwepo Emanueli Amunike,Rashidi yakini.
Mengi mungu akurehemu .
 
unaweza kutengeneza mask ya gharama nafuu kwa kutumia tishu paper na rubber band.
ukizingatia inatakiwa ubadilishe kila baada ya masaa manne.

jambo la msingi kuzingatia na masuala mengine, kama kunawa mikono kwa maji yenye dettol

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji103][emoji103][emoji103][emoji106][emoji106][emoji106] safi saana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unazungumzia miaka ya 90 (specifically 1994) ambapo Mengi aligombana na Dewji kisa ana-force awe anaonesha World Cup peke yake wakati hata ITV yenyewe ilikuwa haijatengemaa na DTV tayari ilishakuwa hewani kitambo! Akaenda kuwalaza ndani wenzake kwa madai ya uongo!!! Anyway, sitasema mengi dhidi ya Marehemu kwa sababu uungwana wa Kiafrika unakataza!
 
Umenikumbusha mbali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…