google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,623
- 13,759
una covid 19nimetokewa na iyo hari over two weeks now, ila nilichoamua kufanya leo ni kujifusha tu ndio naona niko poa sasa ila tatizo limebaki kooni yaani kama nimepaliwa na mate ivi
hapana boss wasiwasi ndio akili sijapima na sina izo dalili zaid ya koo kuwasha kama nimepaliwa na mate pamoja na maumivu yanayofanana na mkuu hapo juu
sure mkuu yaani ni hofu kwenda mbeleTulia nyumbani tu kunywa chai yenye tangawizi, limao na asali huu ni msimu wa baridi mikoa mingi ukisikia hata mkwaruzo kwenye koo utajua ni corona wakati mwaka jana kama sasa hivi uliweza hata kuupuuza na ukajiishia wenyewe.
Kama ukiamua kwenda hospitali kupima na kujiegesha karantini ndio uache na wosia kabisa
Pitia hapa kupata huduma
https://rita.go.tz/page.php?pg=1
Uamuzi ni wako hofu ni hatari kuliko covid19.
Una hofu tu. Kunywa maji ya limao yawe ya Moto kiasi, weka na kitunguu swaumu utakaa sawa. Ukinywa asubuhi, mchana na jioni kesho Yake utaona Koo liko vizurinimetokewa na iyo hari over two weeks now, ila nilichoamua kufanya leo ni kujifusha tu ndio naona niko poa sasa ila tatizo limebaki kooni yaani kama nimepaliwa na mate ivi
Nyuma kidogo nilidakwa na malaria na mvua mvua zikaniletea kikohozi nikajua ndio tayari safari imeanza. Kwenda zahanati tu kupima malaria nipate dawa daktari ananihudumia kama vile anahoji mwizi tena kwa ukali. Kupima kitu kikaonekana ni malaria nikapiga dawa zangu sasa hivi maisha yanaendelea na kikohozi kimekata.sure mkuu yaani ni hofu kwenda mbele
hahahahah saivi hadi madaktari wanaogopa kweliNyuma kidogo nilidakwa na malaria na mvua mvua zikaniletea kikohozi nikajua ndio tayari safari imeanza. Kwenda zahanati tu kupima malaria nipate dawa daktari ananihudumia kama vile anahoji mwizi tena kwa ukali. Kupima kitu kikaonekana ni malaria nikapiga dawa zangu sasa hivi maisha yanaendelea na kikohozi kimekata.
ntafanya ivyo mkuuUna hofu tu.
Kunywa maji ya limao yawe ya Moto kiasi, weka na kitunguu swaumu utakaa sawa. Ukinywa asubuhi, mchana na jioni kesho Yake utaona Koo liko vizuri
hapana boss wasiwasi ndio akili sijapima na sina izo dalili zaid ya koo kuwasha kama nimepaliwa na mate pamoja na maumivu yanayofanana na mkuu hapo juu
Hapana ni tumbo la juu tuuu. Na sima maumivi popote zaidi ya tumbo la juu. Na kilalia mgongo yanaongezeka kidogo ila niki lalia tumbo au kiubavu inaleta nafuu kidogo na haya maumivu ninayo kwa siku ya sita sasaMkuu hali hiyo husababishwa na msongo wa mawazo
maumivu yalianza toka shingoni?
Sio alizama uvinza?
hapana wapiga deki mbona tupo safi au yeye alipiga vipi?Sio alizama uvinza?
au mwenzetu ni mtu wa dekio sanaa kunako uvinza ?hapana boss wasiwasi ndio akili sijapima na sina izo dalili zaid ya koo kuwasha kama nimepaliwa na mate pamoja na maumivu yanayofanana na mkuu hapo juu
Wengine hatupimagi malaria,tunakunywa dawa tu,Nyuma kidogo nilidakwa na malaria na mvua mvua zikaniletea kikohozi nikajua ndio tayari safari imeanza. Kwenda zahanati tu kupima malaria nipate dawa daktari ananihudumia kama vile anahoji mwizi tena kwa ukali. Kupima kitu kikaonekana ni malaria nikapiga dawa zangu sasa hivi maisha yanaendelea na kikohozi kimekata.