guzman_
JF-Expert Member
- Jan 27, 2016
- 1,268
- 2,330
Sawa bossHuduma ya kwanza piga nyungu !
Baada ya hapo hosipitali. pia usisahau chai ya tangawizi kali na limao.
Pole sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa bossHuduma ya kwanza piga nyungu !
Baada ya hapo hosipitali. pia usisahau chai ya tangawizi kali na limao.
Pole sana.
Pia TAFUTA ile dawa ya NIMR@10,000Wakuu habari za leo.
Hapa nina dalili zote za mwanzo za covid19 wazee. Siku kadhaa zijazo huenda nisiweze hata kuandika hapa. Wenye ujuzi na waliokwisha pata hii mambo nipeni technique namna ya kupambania nafsi yangu. Nahisi nikienda hospital ndo kabisa ninaweza nisirudi mzima.
Natanguliza shukrani.
Hii inauzwa wapi boss?Pia TAFUTA ile dawa ya NIMR@10,000
Usidharau,piga Nyungu,imesaidia wengi,then fuata huo ushauri hapo juu bila ya kudharau,utapona...Huduma ya kwanza piga nyungu !
Baada ya hapo hosipitali. pia usisahau chai ya tangawizi kali na limao.
Pole sana.
Nani kamtuma uwanjani nyambafu
Unaendelea je?We umesikia wapi?
chukua tahadhari mkuuDuh..!
Duh..!kuvaa barakoa ni sawa na kuunganisha bomba la kutolea moshi kwenye gari na air cleaner, hatukuumbwa kuvuta hewa ile ile tunayoipumua!
Hili goma bado lipo na yawezekana linaua kimyakimya.
njema
Hapahapa TzLipo wapi? Unazungumzia kenya au Madagascar???
Let's meet at the top, cheers 🥂
Upo tz ipi mkuu? Mbona Tz yetu sisi hakuna hilo gonjwa na tuna dunda tu.Hapahapa Tz
Inauzwa NIMRI Ubungo External njia ya kwenda Makuburi na Nakiete pharmacyHii inauzwa wapi boss?