Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni upuuzi mkubwa. Ibada kama hizi ni ibada za kufuru na dhihika mbele ya Mungu anayetakiwa kuenziwa.Kuna watu wameaminishwa kuwa maombi yaliyo amriwa na Rais kufanyika kwa siku 3 mfululizo lengo na madhumuni ni kumsifu na kumumtukuza Rais wetu kisha kama wajibu kidogo kumtaja na Mungu pia.
Jee ndio makusudio? Na jee wajuzi wa imani huo ndio utaratibu na mfumo wa maombi?
Katika hali kama hiyo jee tumejisogeza kwake kwa unyenyekevu kupata baraka zake au ndio tutegemee majibu tofauti ya tutegemeacho maana tumejiweka mbali zaidi?
View attachment 1423736View attachment 1423739
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu katika hali kama hii tutegemee nini zaidi? Maana Mimi nimeingiwa woga kabisa hasa unapoona viongozi wa dini wale makini wako kimyaHuu ni upuuzi mkubwa. Ibada kama hizi ni ibada za kufuru na dhihika mbele ya Mungu anayetakiwa kuenziwa.
We jamaa tangu upige u turn na akili zako zimehamia kushotoMagufuli ni chaguo la Mungu, utaona kuanzia kesho corona haitakuwepo tena
Baadhi ya Viongozi wa makanisa Tanzania wameamua Kuwa mashabiki(fanatics) wa ukristo badala ya Kuwa wafuasi wa Kristo. Amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu na kumfanya awe kinga yeke. Maandiko yanatukumbusha. Niliyoyaona na kusikia kwenye maombi ya siku tatu Mungu aturehemu kwa kweli.Uishi Mileleeee Eeh Mtukufu John Pombe Magufuli
Huu Ndio urithi aliotuchia Baba wa Taifa
Upendo kila kona ya Nchi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sure mimi damu yangu ni 14dl plus. Na afya tele. Ndugu wapo hapa home kwa stay home affair wanakula limao na ndimu plus others kama tangawizi, carrot, tango, turmeric etc.Ukiwa muumini wa ndimu na limao viwanda vya madawa vitafungwa.Idea ya ndimu inakausha damu imetoka viwandani ili kuwaogopesha watu wasitumie ndimu nao wakakosa biashara
*Extreme Kiranga* : Kuomba na kusali ni kichaka cha kujifichia viongozi wasio na mipango ya kukabiliana na matatizo ya watu. Religion is the opiate of the masses.Kiranga anasemaje!??
Mungu hachoki ndugu yangu! Yeye anapenda sana tumshirikishe kila jambo, ila ni kweli ni muhimu sana kuzingatia ushauri wa wataalamu kama ulivyo sema! Tumwombe Mungu atusaidie na awasaidie wataalamu wakati huu wa mpambano!
Wakristu wa Afrika wanaongoza duniani kwa uvivu wa kufikiria