Coronavirus: Rais Magufuli awaomba Watanzania kumuomba Mungu kwa siku tatu

Coronavirus: Rais Magufuli awaomba Watanzania kumuomba Mungu kwa siku tatu

Are you stupid or what!!!?
there is a lot of scientific solutions to combat the situation issued by the URT gov.
it won't save any purpose if the president repeat the same story

Is it scientific to rally your people to pray for three days as a means of averting COVID-19! Surely it is you and your gang who are stupid!!! In terms of impact there is a huge difference when the head of state speaks as compared to Makonda!! Don't you agree you.cun......!!
 
Hata dini au malimao yakate yachemshe kunywa ya moto nusu glass kila siku usaidia Corona
Asante sana Mkuu. Huwa nafanya sana hiyo ya ndimu au limao kabla hata ya Corona. Hii imenisaidia mno mambo mengi. Huwa nakula sana spices kuchemsha na mbogamboga blending kupata smoothie.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu hasira Ni hasara.
Unanifanya nicheke sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
aiseee aisee acha tu ebu ona hapa utashika lipi utaacha lipi ? yan na watu walisema toka mwanzo ila sababu sio ccm ndio wakawa hawataki kusikiliza,si waseme tu kunna lockdown ? ivi mkuu upumbavu kama huu we unaona upo sawa👇👇👇👇👇👇
 

Attachments

  • 83CA955F-34D2-4029-BD76-7C9BC572D933.jpeg
    83CA955F-34D2-4029-BD76-7C9BC572D933.jpeg
    234 KB · Views: 1
  • 9C50835F-EC25-4652-8162-6B62B1904510.jpeg
    9C50835F-EC25-4652-8162-6B62B1904510.jpeg
    378.3 KB · Views: 1
aiseee aisee acha tu ebu ona hapa utashika lipi utaacha lipi ? yan na watu walisema toka mwanzo ila sababu sio ccm ndio wakawa hawataki kusikiliza,si waseme tu kunna lockdown ? ivi mkuu upumbavu kama huu we unaona upo sawa[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha basi kunichekesha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mie taendelea na maombi ya kuwaombea viongozi wetu wawe na hekima tu, Mungu akinisikia basi naamini watatuongoza vema katika kutokomeza gonjwa hili!
Shikilia hapo hapo mkuu, Mungu anakusikia anaheshimu na kuthamini maombi yako, na kwa uhakika, atajibu!
 
Kuomba kwa siku tatu kama alivyo agiza mheshimiwa Rais Magufuli Siyo: kuacha kuzingatia maelekezo yote ya kitaalamu, siyo kukubali kwamba serikali ipo sahihi kwa kila kitu! Siyo kuunga mkono juhudi, siyo kufumbia tatizo macho!

Kukubali kuomba ni kukubali kwamba janga hili ni kubwa, ni kuona jinsi ambavyo, hata nchi zenye maendeleo makubwa ya kitabibu na utaalamu, wamekwama! Ni kuamini kwamba mwenyenzi Mungu anaweza kutusaidia, kutokomeza ugonjwa, kutupa hekima ya kukabiliana na ugonjwa na kutulinda! It is a high time that we work together in unity, because we have a common enemy!

Tunatofautiana itikadi, imani na mambo mengi kimtazamo, lakini tuna adui mmoja anaye tushambulia kwa sasa, tuungane kumkabili! Kila Mtu kwa imani yake, Mh. Godbless Lema ametuwekea mfano.

Maombi yana Tija pale tu Huduma za Afya za nchi husika zikiwa ni nzuri ila yanakuwa ya Kipumbavu kama Huduma ni Mbovu.
 
Maombi yana Tija pale tu Huduma za Afya za nchi husika zikiwa ni nzuri ila yanakuwa ya Kipumbavu kama Huduma ni Mbovu.
Bahati mzuri kwamba watu hawaleti maombi kwako, itakuwaje upumbavu!

Itakuwa upumbuvu ikiwa maombi yatakuwa wewe ndo unayeombwa!

Watu wengine bhana, Kwani ni Lazima utukane wengine ndiyo uonekane wewe ni mjuzi kuliko Wao?

Vilaza wengi, ndio wanaoongoza matusi, hawanaga hoja zaidi ya matusi, matusi ni ulemavu, ni kushindwa kuishighurisha akiri ili kutoa solutions, matokeo yake unahitimisha Kwa kukebehi watu na kutoa mitusi utadhani wewe ndio binadamu kuliko wengine, mkuu Sio vema, mambo mengine kama hayakuhusu nyamaza
 
Bahati mzuri kwamba watu hawaleti maombi kwako, itakuwaje upumbavu!

Itakuwa upumbuvu ikiwa maombi yatakuwa wewe ndo unayeombwa!

Watu wengine bhana, Kwani ni Lazima uwakele wengine ndiyo uonekane wewe ni mjuzi kuliko Wao?
Kwenye hii mudi ya maombi, tuwasamehe hata wanao kosoa kimakosa, ndugu yangu Paul!
 
Bahati mzuri kwamba watu hawaleti maombi kwako, itakuwaje upumbavu!

Itakuwa upumbuvu ikiwa maombi yatakuwa wewe ndo unayeombwa!

Watu wengine bhana, Kwani ni Lazima uwakele wengine ndiyo uonekane wewe ni mjuzi kuliko Wao?

Halafu katika Lugha adhimu ya Kiswahili hatuna neno lako hili la ' Uwakele ' bali tuna neno sahihi kabisa la ' Uwakere ' sawa?
 
Mmetenda wema gani kwa Mungu hata asikie maombi yenu! mnadanganya..mnapoteza watu...mnachukia wenzenu Mungu yupi atasikia labda mungu baali
Kuomba kwa siku tatu kama alivyo agiza mheshimiwa Rais Magufuli Siyo: kuacha kuzingatia maelekezo yote ya kitaalamu, siyo kukubali kwamba serikali ipo sahihi kwa kila kitu! Siyo kuunga mkono juhudi, siyo kufumbia tatizo macho!

Kukubali kuomba ni kukubali kwamba janga hili ni kubwa, ni kuona jinsi ambavyo, hata nchi zenye maendeleo makubwa ya kitabibu na utaalamu, wamekwama! Ni kuamini kwamba mwenyenzi Mungu anaweza kutusaidia, kutokomeza ugonjwa, kutupa hekima ya kukabiliana na ugonjwa na kutulinda! It is a high time that we work together in unity, because we have a common enemy!

Tunatofautiana itikadi, imani na mambo mengi kimtazamo, lakini tuna adui mmoja anaye tushambulia kwa sasa, tuungane kumkabili! Kila Mtu kwa imani yake, Mh. Godbless Lema ametuwekea mfano.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom