Habari za wakati huu wapendwa.
Wakati tukiwa katika vita kubwa dhidi ya adui wetu corona hali imekua mbaya kama tunavyoona idadi imekua ikipanda na vifo kutamalaki.
Naipongeza pia serikali kwa kutoa elimu ya kuweza kukabiliana na janga hili pia sekta ya afya nayo wako mstari wa mbele.
Bila kupoteza muda ningependa kuelezea jambo moja bado sielewi mpka wakat juzi kati serikali imetangaza watanzania kwa pamoja tufanye maombi kwa ajiri ya taifa naam mimi binafsi niliguswa na habari hii.
Lakini sasa chakushangaza ninacho kiona hadi wakati huu ni mvua tu kikithiri sa sijui ndio mungu ametu jibu maombi kwa namna hii au kuna jambo jema tunarajie hapo badaye?
Nakaribisha mchango wenu.
Sent using
Jamii Forums mobile app