Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ni dhehebu gani?Huwa mnaomba kitu gani.ugonjwa upotee au dawa ipatikane au usiupate ugonjwa na mimi nainze kuomba.
Sina dini ila naamini mungu yupo.
Sawa fanya maombi kwa safasi yako kila Moja anayo namna anavyo omba ila kubwa tu usiache kuombea taifa,ndugu,wazazi,jamaa,familia nk na eleimu pia wasisitizeSina dini ila naamini mungu yupo.
Wewe ndio mjinga biblia inasema amellaniwa MTU yule asiyependa Wa kwao .first duty in kwa nchi yako kwa watu wakoWana akili za kijinga wanafikiri Mungu yuko kwa ajili ya watanzania tu na sio waitali, wachina, waamerika, wahispania, nk Tuna tatizo la kujimilikisha Mungu kwa kila kitu ndio maana huwa hatufanikiwi. Ukija kwenye mpira ni hivyo hivyo utaona wanasema watanzania waiombee timu ishinde. Ni ujinga mtupu tena ina kuwa ni wendawazimu zaidi unapoona wanaojiita madokta na maprofesa ndio wanaosema tumwombe Mungu eti haka ni Kagonjwa!
Virusi sio viumbe mkuu. Havina sifa ya viumbe hai.Binaadamu huwa tunapenda sana kujiona sisi ni special mbele za Mungu wakati Mungu ana viumbe kibao hadi vingine hatuvifahamu
Wakati sisi tunamuomba Mungu atuondoshee hivi virusi na vyenyewe navyo vinamuomba Mungu tushindwe kuvidhibiti ili viendelee kuponda raha za dunia wao raha yao ni kuingia katika mapafu ya binaadam
Yawezekana Mungu akapokea dua ya corona virus kuliko dua ya binaadam maana sidhani kama corona virus wanatenda makosa mbele za Mungu kama tutendayo sisi binaadam
Na nilicho gundua kimbe kimoja kukiua kiumbe kingine hilo kwa Mungu sio tatizo na ndio maana sisi binaadam kila siku tunachinja kuku , mbuzi na tunavua samaki hivi vyote ni viumbe vya Mungu lakini sisi tunavisababishia vifo vyao
Hivyo tuendelee kusikiliza ushauli wa raisi wetu mimi binfsi sijui yupo kwa sasa tuendelee kuomba dua na kunawa mikono
Kwa popo hakuna bata la kutosha maana muda mwingi analala...ila binadamu ni 24 season zote yupo macho na mikusanyiko kibaoSisi wenyewe ndio tumevitoa kwa popo na kuvileta kwetu labda vimegundua kuishi kwa binaadam ni raha zaidi kuliko kwa popo
Mbona wanasema vinakufaVirusi sio viumbe mkuu. Havina sifa ya viumbe hai.