Coronavirus: Safari zote za Hijja zapigwa marufuku kwa muda Saudi Arabia

Hujathibitisha Mungu yupo, unahubiri.

Thibitisha Mungu yupo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiulize nawewe kwanini umeshindwa kuacha dhambi? Siku ukiacha dhambi hakika Mungu atakukingeni na majanga haya. Kucha kutwa unaenda kinyume na mafundisho yake halafu ukipata majanga ndio unamlilia? Una reasoning capacity ndogo sana kijana.
 
Unakubali Mungu ana ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote?

Sent using Jamii Forums mobile app
Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye, hata malaika walio mbinguni, wala Mwana, ila Baba Peke Yake". (Mathayo 24:36)
"Macho ya BWANA yako kila mahali; Yakimchunguza mbaya na mmema". (Mithali 15:3)
"Kwani macho yake ya juu ya njia za mtu, Naye huiona miendo yake yote. Hapana weusi, wala hilo giza tupu, Wawezapo kujificha watendao udhalimu". (Ayubu 34:21-22)
"Je! Huoni kwamba Allah (Mwenyezi Mungu) anajua vilivyomo mbinguni na vilivyomo ardhini? Haupatikani mmong’ono wa watu watatu ila yeye huwa ni wanne wao, wala wa wachache kuliko hao wala zaidi ila yeye huwa pamoja nao (kwa ujuzi wake), popote walipo; kisha siku ya kiama atawaambia waliyoyatenda. Hakika Allah (Mwenyezi Mungu) ni Mjuzi wa kila kitu". (Qur. 58:7)
"Yeye ndiye Allah (Mwenyezi Mungu) ambaye hakuna aabudiwaye kwa haki isipokuwa Yeye tu. Anayeyajua yaliyofichikana na yaliyo dhahiri. Mwenye kuneemesha neema kubwa kubwa na Mwenye kuneemesha neema ndogo ndogo". (Qur. 59:22)
"Na hakika Mola wako atawapa hao wote malipo ya vitendo vyao sawa sawa. Bila shaka Yeye anazo khabari za (yote) wanayoyatenda". (Qur. 11:111)
 
Mungu kashindwa kuwanusuru watu wake na janga hili?

Hata wanaokwenda Hijja?

Huyo Mungu yupo kweli au ni hadithi za watu tu?
Mungu amewaleta duniani akakupeni muongozo wa maisha, ikiwemo nini cha kuliwa na nini kisiliwe, na akawausia mule vyakula vizuri..mkajitia wajuaji mkaanza kula supu ya popo na uchafu kama huo, halafu mnataka awanusuru... Kisha mnamlaumu..atawanusuru lakini baada ya kuwadiscipline kwanza akili irudi mahali pake...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waje wafanye safari za HIJA huku Kilwa Kivinje kwenye ule msikiti wa kale
 
Kwanza kabisa thibitisha Mungu yupo.

Unajuaje Mungu yupo, na kwamba habari za Mungu kuwepo si uongo ambao watu wamejitungia tu kama jibu la maswali ambayo hawana majibu yake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpumbavu wewe unayetaka kunyamazisha watu katika forum ambayo kauli mbiu yake inajivunia watu kuongea kwa uhuru.

Siachi kuandika mawazo yangu, utafanya nini?

Thibitisha Mungu yupo.

Sent using Jamii Forums mobile app
tatizo lako umestick katika mawazo hasi wakati kuwa flexible kimawazo kutakufanya ujue vitu vingi sana
Je wajua ni dunia pekeee kwa wanasayansi wamegundua ndio kuna maji pekee
Lakini siri ya mungu huenda kuna madunia mengine makubwa yapo mbali na sisi ila kwa upeo wetu hatuwezi kuwaza....
Kama kiranga unatumia internt iliyotengenezwa na watu
Simu zilizotengenezwa na watu
Magari yaliyotengenezwa na watu

Itashindikana vp wewe kukaa katika ulimwengu ulioyetengenezwa na kitu chenye uwezo mkubwa zaidi..na kibina damu tunakiita mungu.
Sasa binaadamu ndio wamekuja na tafsri zao kama hizi

Mungu ni allah
Mungu ni yesu kristo
Mungu ni masanamu 360
Mungu ni jua
Mungu ni ng'ombe
Mumgu ni mizimu
Hizo zote ni tafsri za kibina adamu ila haijalishi LAZIMA KUTAKUWEPO NA MMILIKI WA ULIMWENGU
 
Mungu kashindwa kuwanusuru watu wake na janga hili?

Hata wanaokwenda Hijja?

Huyo Mungu yupo kweli au ni hadithi za watu tu?
Hizi statement (blasphemy) hata aliyemshoot Lissu akiziona atakasirika 🙂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…