Coronavirus: Safari zote za Hijja zapigwa marufuku kwa muda Saudi Arabia

Coronavirus: Safari zote za Hijja zapigwa marufuku kwa muda Saudi Arabia

tatizo lako umestick katika mawazo hasi wakati kuwa flexible kimawazo kutakufanya ujue vitu vingi sana
Je wajua ni dunia pekeee kwa wanasayansi wamegundua ndio kuna maji pekee
Lakini siri ya mungu huenda kuna madunia mengine makubwa yapo mbali na sisi ila kwa upeo wetu hatuwezi kuwaza....
Kama kiranga unatumia internt iliyotengenezwa na watu
Simu zilizotengenezwa na watu
Magari yaliyotengenezwa na watu

Itashindikana vp wewe kukaa katika ulimwengu ulioyetengenezwa na kitu chenye uwezo mkubwa zaidi..na kibina damu tunakiita mungu.
Sasa binaadamu ndio wamekuja na tafsri zao kama hizi

Mungu ni allah
Mungu ni yesu kristo
Mungu ni masanamu 360
Mungu ni jua
Mungu ni ng'ombe
Mumgu ni mizimu
Hizo zote ni tafsri za kibina adamu ila haijalishi LAZIMA KUTAKUWEPO NA MMILIKI WA ULIMWENGU
Hujathibitisha Mungu yupo.

Halafu si kweli kwamba dunia oekee ndiyo ina maji.

Thibitisha Mungu yupo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujathibitisha Mungu yupo.

Thibitisha Mungu yupo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Rafiki yangu mimi ni mtu wa imani lakini na maswali mengi sana kuliko hata wewe kuhusu matendo ya Mungu kwa watu wa Afrika na maskini. Nataka kuamini lakini napata taabu kuamini kama uislamu na ukristo zililetwa kwa ajili ya waafrika sisi ni kama gate crushers kwenye dini za wengine.
 
Hehee kuna maswali mengine wala hayahitajii kuumiza kichwa
Huyu Mungu unaemuaanisha katika huu uzi sio yule mwenye upendo wote na ujuzi wote.
Mungu anafaidika nini kuwaumbia viumbe wake Corona?.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani mama anapomchapa mwanawe ama anapomkaripia ama anapo muonya pale anapokosea ama anapofanya jambo baya ama ambalo halipendezi katika jamii hua hampendi ?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kifo pia kinaonesha Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, asingeachia viumbe wake wanaopendana watenganishwe na kifo.
Na ungefikaje kwake mbinguni bila kuuvua mwili huu wenye mapungufu mengi?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo kwa wakati huu kawapotezea?

Imekuewaje Mungu mwenye uwezo wote kaumba ulimwengu ambao magonjwa yanawezekana?

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani ushasema Mungu Mwenye Uwezo Wote Halafu Unauliza Kwa Nn Kaumba Magonjwa Sasa Nakwanini Asiumbe Wakati Anauwezo Wakuumba Pia !?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani ushasema Mungu Mwenye Uwezo Wote Halafu Unauliza Kwa Nn Kaumba Magonjwa Sasa Nakwanini Asiumbe Wakati Anauwezo Wakuumba Pia !?

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua sababu ya hiyo Mungu kuumba hivyo?

Na kama hujui, unajuaje yupo?

Yani nikisema "Kiranga ana uwezo wote" hilo linamaanisha kweli Kiranga ana uwezo wote?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toa ushahidi wa picha uaminike kuwa kuna sehemu kuna maji
Tatizo mnakaa vijiweni hamsomi vitabu halafu mnadanganyana hakuna mungu
Unataka twende kwenye ushahidi wa picha?

Mimi sikutaka ushahidi wa picha kuwa Mungu yupo.

Lakini, unaweza kunipa ishahidi wa picha kwamba Mungu yupo kwanza?

Na unawezaje kuhakiki ushahidi wa picha huu ni wa kweli na huu ni photishop tu?

Nikikuoa ushahidi wa picha utauhakiki vipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unataka twende kwenye ushahidi wa picha?

Mimi sikutaka ushahidi wa picha kuwa Mungu yupo.

Lakini, unaweza kunipa ishahidi wa picha kwamba Mungu yupo kwanza?

Na unawezaje kuhakiki ushahidi wa picha huu ni wa kweli na huu ni photishop tu?

Nikikuoa ushahidi wa picha utauhakiki vipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan kila usichowahi kukiona ndio kinakua hakipo ?!

Ama kama kitu hakijathibitishwa uwepo wake na Kiranga Ndio Kinakua Hakipo ?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kifo pia kinaonesha Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, asingeachia viumbe wake wanaopendana watenganishwe na kifo.
Kifo kipo kwaajili ya Uwepo Wa MUNGU na MUNGU Kudhihirisha Zaidi Kama Anatupenda Katuumbia Kifo

Nyie Mnapendana Ila MUUMBA Anawapenda Zaidi Ndio Maana Akawaumbia kifo.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom