Coronavirus: Safari zote za Hijja zapigwa marufuku kwa muda Saudi Arabia

Coronavirus: Safari zote za Hijja zapigwa marufuku kwa muda Saudi Arabia

Hapana simuamini lakini anayosema yana mantiki ukiangalia na uhalisia wa mambo yalivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayana Mantiki Kwasababu Hata Mwalimu Anauwezo Wakufanya Wanafunzi Wote Mkafaulu Kwa Kupata 100 Ya 100 Ama 50 Ya 50 Kwakila Mitihani Ama Maswali Atakayowapa Ila Kwa nn Hawapi Mitihani Namajibu Yake Anawapa Mitihani Yenye Maswali Matupu Majibu Anabakia Nayo ?!

Ndio Kama Mungu Sasa Mungu Alishatupa Dira Nzima Yamaisha Nanamna Yakuyaendea Ila Kunamuda Tunachemka Kutokana Na Kua Katupa Mitihani Ama Mtihani Halafu Majibu Kabakia Nayo Mwenyewe


Huyo Ndio MUNGU Anachokifanya Kiranga Bado Hakijawa Namantiki Kwawatu Waelewa

Sababu Hana Hoja Zamsingi Wala Zamaana

Kutokukiona Kitu Haimaanishi Kama Hakipo Ama Hakikuwepo Kwan Tunasoma Mangapi Ambayo Tunaambiwa Eti Yalikuepo Ila Hatujawahi Kuyaona ?!


Ushawahi Kuiona Harufu ?! Una amini vp kama ipo ?! Ushawahi Kuuona Uhai(sio mtu alio hai kuuona uhai wenyewe)?!ushawahi Kuuona Umauti/kufa(sio mtu alokufa )

MUNGU Hujawahi Kumuona Nahutakaa Umuone Ila Haiondoi Uhalisia Wakwamba Yupo

Ama Anachosema Kiranga Kama Ushawahi Kumuona Mungu Ndio Kinaleta Uhalisia Wakujaji Uwepo Wamungu ?!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa jinsi nature ya maisha ilivyo na dhambi zilivyo huwezi kuacha dhambi na kama kweli moto upo basi kila mtu mzima ataenda motoni.

Msome vizuri Kiranga amesema kwa nini Mungu aruhusu majanga, dhambi n.k wakati uwezo wa kuzuia anao?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kutokuweza kuepuka dhambi ndio iwe excuse kwa Mungu kutoiadhibu dunia? Si umepewa akili na utashi wa kuamua? Umechagua upande ulio kinyume naye unaadhibiwa tu, haijalishi wingi wa watenda dhambi. Majanga mengine anayaacha yatokee ili kuwakumbusha kwamba yupo.
 
Sasa kutokuweza kuepuka dhambi ndio iwe excuse kwa Mungu kutoiadhibu dunia? Si umepewa akili na utashi wa kuamua? Umechagua upande ulio kinyume naye unaadhibiwa tu, haijalishi wingi wa watenda dhambi. Majanga mengine anayaacha yatokee ili kuwakumbusha kwamba yupo.
Angejiuliza kwa nn mwalimu anawapa mtihani bila majibu nawakati majibu anayo nahisi angeweza kupata kamwanga walau kwauchache

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hehee kuna maswali mengine wala hayahitajii kuumiza kichwaKwani mama anapomchapa mwanawe ama anapomkaripia ama anapo muonya pale anapokosea ama anapofanya jambo baya ama ambalo halipendezi katika jamii hua hampendi ?!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mfano wako wa mama kumchapa mwanae unamatege, mama ni lazima amchape mwanae kwasababu Mama hana ujuzi wote na uweza wote. angelikuwa na ujuzi wote na uweza wa yote mama angemlitengeneza mwanae asitende kinyume, lakini sasa mambo ni tofauti, uwezo wote na ujuzi wote mama hana.
Hapa tunamujadili Mungu mjuzi wa yote na upendo wote, lakini kaumba dunia yenye mapungufu mengi wakati alikuwa na uwezo wa kuumba dunia isiyo na mapangufu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mfano wako wa mama kumchapa mwanae unamatege, mama ni lazima amchape mwanae kwasababu Mama hana ujuzi wote na uweza wote. angelikuwa na ujuzi wote na uweza wa yote mama angemlitengeneza mwanae asitende kinyume, lakini sasa mambo ni tofauti, uwezo wote na ujuzi wote mama hana.
Hapa tunamujadili Mungu mjuzi wa yote na upendo wote, lakini kaumba dunia yenye mapungufu mengi wakati alikuwa na uwezo wa kuumba dunia isiyo na mapangufu.



Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakua ushakubali kama yeye Nimuumba ama Muweza Wayote Hata Hayo Uloyataja Ujue Niuweza Wake Nandio Maana Akayaumba

Utampangiaje Mtu Anaeweza Kufanya Kila Kitu Afanye Unavyotaka wewe wakati Yupo Katika Uwezo wake Wakufanya Mambo yake

Anaweza Yote Nandio Maana Akaumba Hatahayo Maradhi Ama Majanga Ama Dhiki Kwasababu Yapo Ndani Yauwezo Wake Pia


Ndio Maana Ukasema Mungu Muweza Sababu Anaweza Kuumba Unachokipenda Kwamfano Furaha Nahata Usichokipenda Kwamfano Maradhi Majanga Vifo Ili Kuuonesha Uweza Wake

Kutokufanya Watu Wasipone Pia Nindani Yauwezo Wake....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kutokuweza kuepuka dhambi ndio iwe excuse kwa Mungu kutoiadhibu dunia? Si umepewa akili na utashi wa kuamua? Umechagua upande ulio kinyume naye unaadhibiwa tu, haijalishi wingi wa watenda dhambi. Majanga mengine anayaacha yatokee ili kuwakumbusha kwamba yupo.
Mkuu namnukuu Kiranga kwa nini aruhusu majanga na uwezo wa kuzuia anao?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio SI unit ila ana hoja nzito na za msingi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hana hoja bhana. Mungu sio dictator. Kakuumba na kakupa akili na utashi ili umuabudu kwa kipendaroho chako. Kuhusu hayo majanga hashindwi kuzuia. Bali binadamu wamezidi uovu . Nayeye anayaachia ili kuwapa watu muda zaidi wa kujirekebisha. Anadhihirisha ukuu wake. Rejea mapigo ya wamisri katika kitabu cha kutoka kama wewe ni mkristo. Kisha kasome kitabu cha Ayubu ujiongezee ufahamu. Na zaidi malizia na kitabu cha ufunuo. Nimefika mwisho wa hoja hii. Kama wewe na Kiranga wako hamuelewi basi.
 
Mkuu namnukuu Kiranga kwa nini aruhusu majanga na uwezo wa kuzuia anao?



Sent using Jamii Forums mobile app
Nakwanini asiruhusu wakati kaamua yatokee

Kwan unapokua na uwezo wakula nahaalfu usile unakua unakosea ama umeamua !?


Kiufupi Hayo Nimaamuzi Yake Hayaingiliwi

Ndio maana kuna sehemu nilisema kwa nn mwalimu anaruhusu wanafunzi wafeli kwakufanya mitihani wakati anauwezo wakuwapa majibu yamtihani anaowapa ?!...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwakua ushakubali kama yeye Nimuumba ama Muweza Wayote Hata Hayo Uloyataja Ujue Niuweza Wake Nandio Maana Akayaumba

Utampangiaje Mtu Anaeweza Kufanya Kila Kitu Afanye Unavyotaka wewe wakati Yupo Katika Uwezo wake Wakufanya Mambo yake

Anaweza Yote Nandio Maana Akaumba Hatahayo Maradhi Ama Majanga Ama Dhiki Kwasababu Yapo Ndani Yauwezo Wake Pia


Ndio Maana Ukasema Mungu Muweza Sababu Anaweza Kuumba Unachokipenda Kwamfano Furaha Nahata Usichokipenda Kwamfano Maradhi Majanga Vifo Ili Kuuonesha Uweza Wake

Kutokufanya Watu Wasipone Pia Nindani Yauwezo Wake....

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ni wapi nimetambua uwepo wake?, unaweza kuonyesha ni wapi nimekili uwepo wake?.
Umejuaje kwamba hivyo ulivyovitaja vimeumbwa na Mungu na sio kitu kingine tu?.

Nb: ujathibitisha kwamba yupo, hivyo huna haki ya kusema kaumba hiki ama kile, thibitisha kwanza kwamba yupo.
Unaweza KUTHIBITISHA KWAMBA YUPO NA SIO HADITHI TU?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio SI unit ila ana hoja nzito na za msingi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja zake hazina uzito nawala hazina msingi ukitaka kuamini hilo muulize kwa nn Anaamini Kama Hakuna MUNGU

Halafu Muulize Kwa Nn wanafunzi Wanafanya Mitihani Shule Kikiwa Kama Kipimo Cha Ufaulu Ama Kufeli Kwao

Hana Hoja Zakimsingi Zinazopingana na Uwepo Wamungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado hujui kwahio kusema kwako ni 10 haitakua na uhalali kwasababu ndio hujui

Ukishakua hujui utabakia kua hujui tu mpaka utakapo jua

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui nini?

Unajua naweza kuwa sijui umri wa baba yako mzazi, lakini nikajua ni mkubwa kuliko wewe?

Kwa sababu baba yako mzazi hawezi kuwa mdogo kuliko wewe?

Unaelewa hilo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui nini?

Unajua naweza kuwa sijui umri wa baba yako mzazi, lakini nikajua ni mkubwa kuliko wewe?

Kwa sababu baba yako mzazi hawezi kuwa mdogo kuliko wewe?

Unaelewa hilo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini MUNGU Hayupo Nipe Sababu Zakwanini MUNGU Hayupo Achana Nababa Angu Mzazi

Kitu Ili Ujue Kipo Unatakiwa Kuwe Na Kiashiria Gani Nakama Hakipo Unatakiwa Kuwe Nakiashiria Gani Kinachokuonesha Kwamba Hakipo



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini MUNGU Hayupo Nipe Sababu Zakwanini MUNGU Hayupo Achana Nababa Angu Mzazi

Kitu Ili Ujue Kipo Unatakiwa Kuwe Na Kiashiria Gani Nakama Hakipo Unatakiwa Kuwe Nakiashiria Gani Kinachokuonesha Kwamba Hakipo



Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuwepo, halafu ulumwengu unaoruhusu mabaya kuwepo, hilo ni contradiction.

Unaelewa hilo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu kashindwa kuwanusuru watu wake na janga hili?

Hata wanaokwenda Hijja?

Huyo Mungu yupo kweli au ni hadithi za watu tu?
Kirusi kidogo kakiketa mataifa yanayojitapa kwa teknolojia ya hali ya juu yanashindwa kukiona, wataalam wa afya wa dunia nzima wanashindwa kutibu! Vikosi vya usalama vya hali ya juu vinashindwa kuona au kufahamu vipi kirusi hichi kinajipenyeza katika mataifa yao! Majeshi yenue uzoefu na silaha za hali ya juu za kivita zinashindwa kupambana na kirusi hiki!
Hiki kirusi ni dalili tosha kwa wenye kufikiri kuwa Mungu mwenye nguvu na uwezo kuliko chochote yupo!
Adhabu yake inapokuja haichagui mwema wala mbaya, hayo ameshayaeleza zamani!
Pia hatuna uwezo wa kupambanu wema na wabaya, Yeye mwenyewe ndo anajua yaliyomo ndani ya nyoyo za watu, haijalishi ni imaam wa msikiti au padri, yeye ndo anamjua, sisi tunaona tabia za binaadamu alizoamua kuzionesha kwetu ila undani wake hatumjui.
Sikusudii mjadala ni ukumbusho tu na ushuhuda wangu🙏🙏🙏
Kila mtu na aamini kile anachokipna ni sawa🙏🙏
 
Mkuu namnukuu Kiranga kwa nini aruhusu majanga na uwezo wa kuzuia anao?



Sent using Jamii Forums mobile app
Who are we to question Him? Ikiwa ni Mungu kweli na ana uwezo wa kila kitu, basi ana haki ya kufanya atakalo bila ya kuulizwa na yeyote. Na ndio maana anafanya kwa sababu hakuna wa kumuuliza kwa nini afanye aliloamua. He is the top off all! Haogopi chochote wala hajali athari ya lolote analofanya, sisi ndio wa kuogopa na kumuomba na kumnyenyekea kwa sbb tunamuhitajia yeye asituletee majanga au atuondoshee majanga!
Yeye hapati faida wala hasara kwa kuleta maradhi, au kuleta afya, kwa uhai wetu au vifo vyetu, kwa huzuni zetu au furaha zetu, kwa wema wetu au ubaya wetu, kwa lolote yeye anabaki kuwa na Nguvu za kipekee.
 
Back
Top Bottom