Distant Relatives
JF-Expert Member
- Nov 21, 2020
- 415
- 731
hebu nisaidie Tanzania ni kikwazo kivipi?Mtazamo wangu..
Tz itaingia kwenye mgogoro mkubwa sana na jumuia za kimataifa.
Viongozi wa kisiasa watatuletea shida sana raia wa Tz duniani kote.
Hata wao viongozi watapata shida sana katika tawala zao. Watabaki kuishi km mateka tena ndani ya nchi yao.
Hatupaswi kuwa kikwazo dhidi ya juhudi ya jumuia ya kimataifa katika kupambana na corona. Tukionekana sasa sisi ndiyo chanzo cha maambukizi yanayodhibitiwa huko duniani..tutarajie hukumu kali juu yetu.
Tusijidanganye kuwa tunajimudu,labda hao wa jumba jeupe. Lkn wengine tutalia na kulimia meno.
Rwanda wanatofauti ukilinganisha na sie.Wewe mleta mada ndio unaona leo? Hata Rwanda imo siku nyingi mbona.
Hawa wanaopinga chanjo mnawasemaje? Ila wazungu wanajua kutuchezesha ngoma zao aisee!! Sasa sisi makapuku tunaoshadadia hiyo chanjo tunafanyaje?Tanzania ni nchi inayohujumu jitihada za dunia kwenye mapambano dhidi ya Corona.
Mnatoa hoja za kijinga. Hivi kati ya sisi na hizo nchi za Ulaya, wewe unajua, nani wameathirika zaidi? Hivi UK wangeamua kutopima au kutotangaza, ninyi wajinga mngejua UK kuna wagonjwa na vifo vingi vya corona?Uingereza ina hali mbaya sana mpaka nchi nyingine za ulaya kama ujerumani zimezuia mpaka timu zao kuingia badala ya kushugurika na nchi nyingine angeanza na ya kwake ingawa ukweli upo wazi na sisi hali ni mbaya
Wewe ni jinga sanaMnatoa hoja za kijinga. Hivi kati ya sisi na hizo nchi za Ulaya, wewe unajua, nani wameathirika zaidi? Hivi UK wangeamua kutopima au kutotangaza, ninyi wajinga mngejua UK kuna wagonjwa na vifo vingi vya corona?
Nilikuwa South Africa, nchi inayoongoza kwa wagonjwa na vifo, lakini sikuwa nasikia vifo mara kwa mara kama hapa.
Kwa kuangalia taarifa za matukio ya vifo, kuna uwezekano mkubwa kwa sasa Tanzania kuwa imeathirika zaidi ya Afrika Kusini.
Uingereza kutafuta niniWewe mleta mada ndio unaona leo? Hata Rwanda imo siku nyingi mbona.
Mtumie akili vizuri tu.Hawa wanaopinga chanjo mnawasemaje? Ila wazungu wanajua kutuchezesha ngoma zao aisee!! Sasa sisi makapuku tunaoshadadia hiyo chanjo tunafanyaje?
Nchi nyingi za Afurika zimoWewe mleta mada ndio unaona leo? Hata Rwanda imo siku nyingi mbona.
Achana na hii lugha iliyokuja na manowari, andika kimatumbi, usituchanganyeAs far as economic concerned we are dona kantre!
Ukitaka kujua tulivyo wapumbavu soma post Kama hii.Wajinga kweli Hawa, kwani lazima kwenda kwao!!!???, Kila mtu apambane na Hali yake.
Wewe ndo mjinga, Watalii wanao tupa Dolla ni unazania ni ukoo wako? Wewe unaweza hata kukaa nusu saa Serengeti National Park? ,Wajinga kweli Hawa, kwani lazima kwenda kwao!!!???, Kila mtu apambane na Hali yake.
Subiri yatakufika tu ndugu yangu!Aliewapa jina la nyumbu MUNGU ambariki kwa kweli
Itoshe tu kusema wewe ni mjingaMnatoa hoja za kijinga. Hivi kati ya sisi na hizo nchi za Ulaya, wewe unajua, nani wameathirika zaidi? Hivi UK wangeamua kutopima au kutotangaza, ninyi wajinga mngejua UK kuna wagonjwa na vifo vingi vya corona?
Nilikuwa South Africa, nchi inayoongoza kwa wagonjwa na vifo, lakini sikuwa nasikia vifo mara kwa mara kama hapa.
Kwa kuangalia taarifa za matukio ya vifo, kuna uwezekano mkubwa kwa sasa Tanzania kuwa imeathirika zaidi ya Afrika Kusini.