Coronavirus: Ubalozi wa Uingereza wasema Tanzania ni "Red list Country"

hebu nisaidie Tanzania ni kikwazo kivipi?
 
Tanzania ni nchi inayohujumu jitihada za dunia kwenye mapambano dhidi ya Corona.
Hawa wanaopinga chanjo mnawasemaje? Ila wazungu wanajua kutuchezesha ngoma zao aisee!! Sasa sisi makapuku tunaoshadadia hiyo chanjo tunafanyaje?
 

Attachments

  • VID-20210215-WA0012.mp4
    5.8 MB
Uingereza ina hali mbaya sana mpaka nchi nyingine za ulaya kama ujerumani zimezuia mpaka timu zao kuingia badala ya kushugurika na nchi nyingine angeanza na ya kwake ingawa ukweli upo wazi na sisi hali ni mbaya
Mnatoa hoja za kijinga. Hivi kati ya sisi na hizo nchi za Ulaya, wewe unajua, nani wameathirika zaidi? Hivi UK wangeamua kutopima au kutotangaza, ninyi wajinga mngejua UK kuna wagonjwa na vifo vingi vya corona?

Nilikuwa South Africa, nchi inayoongoza kwa wagonjwa na vifo, lakini sikuwa nasikia vifo mara kwa mara kama hapa.

Kwa kuangalia taarifa za matukio ya vifo, kuna uwezekano mkubwa kwa sasa Tanzania kuwa imeathirika zaidi ya Afrika Kusini.
 
Wewe ni jinga sana
 
Hua sikubaliani na mambo mengi ktk utawala huu ila kwa hili la Corona kila nchi ifuate utaratibu wake kulingana na hali halisi tusipangiwe Cha kufanya
 
Nimeondoka huko uingereza wiki tatu zilizopita kumeoza kunanuka,mambo yote ni TZ Corona free watuache na life letuuuu.
 
Nchi ya kuigwa imekuwa ya kupigwa ban daah kazi kweli kweli...
 
Wajinga kweli Hawa, kwani lazima kwenda kwao!!!???, Kila mtu apambane na Hali yake.
Ukitaka kujua tulivyo wapumbavu soma post Kama hii.

Unamfahamu utalii unachangia ajira kiasi gani nchi hii?

Unamfahamu utalii unachangia kiasi gani kwenye Pato la taifa na fedha za kigeni?

Ni vyema wakati mwingine kukaa kimya kuliko kuonyesha upumbavu wako
 
Wajinga kweli Hawa, kwani lazima kwenda kwao!!!???, Kila mtu apambane na Hali yake.
Wewe ndo mjinga, Watalii wanao tupa Dolla ni unazania ni ukoo wako? Wewe unaweza hata kukaa nusu saa Serengeti National Park? ,
 
Itoshe tu kusema wewe ni mjinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…