Couple ya Tunda na Casto Dickson ndio Couple mbaya zaidi hapa nchini


Fast Life. Speeding to Hell !

-Kaveli-
 
Pozi la picha... hivi mmoja anapoegemea sana kuelekea kwa mwenzake wakati huyo mwenzake yeye amenyooka wima kama 1, huwa inaashiria nini hapo?

Wajuvi wa Body Language nipeni tips.

-Kaveli-
 
Wacha wivu wa kike

Embu mpost na ww uyo demu wako tuone kama mna endana ama ham endani


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes tunda ni mzuri ila.malaya, na anamatumizi ambayo castor hayawezi, hivo tunda yupo na castor kama mshkapembe tu. Ila tunda anatoka na wazee wenye mikwanja mirefu kama kina kije na kadhalika, ila hawataki kujionyesha ili kulinda ndoa zao. Ndo maana unakaona kanabadilisha tu hoteli kila siku, mara rwanda, dubai n.k. kuna mazee mafanya biashara huwa yanasafiri nako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni holy wa fey?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa taarifa yako Anamaria alikua mzuri kuliko Tunda. Casto anajua kupenda na anampenda sana Tunda. Japo Tunda ana mambo yake mengi na casto anajua sema wala hajali

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kwamba Casto hajali bali uwezo wa kumuacha mtoto mzuri kama Tunda hana labda aachwe yeye, kwanza hainiingii akilini kabisa kama ni wapenzi kweli kweli kuna kitu kimejificha hapa ngoja nipeleleze mpaka nijue.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…