COVID-19: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atangaza ongezeko la Wagonjwa Wapya 196. Visa vyafikia 480

Huyu hapa afisa Programu na Mmoja waJumbe na Wataalam wa Jopo Maalum la kupambana na Covid-19 toka Wizara ya Afya Dokta Tumaini Haonga akihojiwa :
 
Vifo?
 
MATAGA wanasema hiyo ni ndogo sana ukilinganisha na watanzania milioni 55, wanasema tuchape kazi ili serikali ipate kodi.
... kwa kipindi hicho cha Aprili 23 - 28; ni wastani wa maambukizi 40 kila siku kwa waliopimwa; wasiopimwa ni wengi zaidi! Duuh! Siku nyingine 5 zijazo tutafikia 100 kwa siku and so on! Wakuu hii kitu ni hatari kuliko inavyochukuliwa! Tunaelekea uelekeo wa Italy na Spain hivi hivi tukiona!
 
Asante kwa updates. Ila vifo mmeamua kumute. Wamepona wangapi ?We need information kamilifu. Mmepima wangapi,wagonjwa wangapi,vifo and waliopona. Tunataka full package.
 
Huyu Mchungaji Gwajima akijitokeza kwa nguvu zooote akawa anasema kuwa nchi za jirani wamekataza waumi kwenda kanisani Lakini wanapigwa na CORONA Wakati Tanzania hawajakatazwa kanisani wanaenda Lakini Hakuna maaambukizi akakazia juuu ya Kenya na Rwanda kuwa kanisani hawaendi na kupigwa wanapigwa wanapigwa Sana na hata robo ya maambukizi hatujawafikia

Sasa ninakuhitaji huku gwajima utoleee ufafanuzi, inawezekana nyie wachungaji wa kirokole ndio mmemzunguka huyu kiongozi na kumdanganya had hali imefika huku

Kwa taarifa iliyotolewa Leo na waziri Mkuu inaonesha kuwa tumeipita mbali Kenya na tuko juuu Sana kimataifa Yote ya Africa tuko top ten na Africa mashariki tunaongoza ebu njooo utoleee ufafanuzi gwajima umetuletea mkosi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…