COVID-19: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atangaza ongezeko la Wagonjwa Wapya 196. Visa vyafikia 480

This is very serious, wastani wa Wagonjwa Wapya 39 kila siku?? Mungu tusaidie
 
Aisee Kumbe tutafika hata laki kwa chein hii ni hatari imagine walipokuwa waliambukiza wangapi?
 
Fa
Kuna uwezekano hizi data zimechakachuliwa...

Chukua figure yao then zidisha kwa factor ya 1.40 ili kupata data kamili...

480*1.4 = 672.

Kwangu mimi hili ndilo jibu sahihi.
Factor mbona ndogo sana mkuu inaweza kuwa more than that
 
Kenge mpaka atoke damu masikioni ndio anajua kuna hatari!
Mimi nawashangaa sana hao walamba miguu wa lumumba,wmpaka kwenye mauti bado wanashupaza shingo!@Bia yetu Etwege
na misukule wengine hawana utu wala uchungu na maisha ya watanzania,wao kutetea ugali kwanza!
 
Ukiwemo wewe kama huchukui hatua!
 
vipi kuhusu tatizo la kupumua ??
 
Kuna uwezekano hizi data zimechakachuliwa...

Chukua figure yao then zidisha kwa factor ya 1.40 ili kupata data kamili...

480*1.4 = 672.

Kwangu mimi hili ndilo jibu sahihi.
kuchakachua kunaanzia kufichwa kwa idadi ya waliopimwa
 
Mimi siwamini hawa jamaa kabisa, hata waseme vipi wao wabaki na idadi yao,
Wewe umeisha poteza ndugu wangapi? Na je! Una ndugu au jamaa yako aliyepata huo ugonjwa? Kama wapo, basi serikali inadanganya lakini kama hawapo, basi hiyo namba ya serikali itakuwa sawa. Yaani ni hivi kama wewe una ndugu zako wengi ni wagonjwa na jirani yako ndugu zake wengi ni wagonjwa na marafiki zako wote ni wagonjwa na wana ndugu zao wagonjwa au wamekufa kwa ugonjwa huo, basi hainashaka serikali watakuwa waongo!
Bila hivyo usibishe kipinzani bila kuwa na data.
 
Wagonjwa tunajua wako wengi sana, maana hata mimi hapa nina dalili zote za corona lkn bado sijaenda kupima ili waniingize kwenye data zao.

Swali la msingi ni kuna vifo vingapi mpaka sasa?
Unforgetable
Ndo huu Ujinga tunaoukemea, wewe unataka uambukize wengine siyo?

Jihimize ukapime na uwekwe karantini mkuu, Acha kueneza maambukizi
 
Fanyenyi urafiki na Tangawizi,asali na limao bila kisahau kujifukiza.
Ukidharau juu yako
 
Hii staili mpya ya Utangazaji. Ilituchukua zaidi ya mwezi kufika 294, na sasa inachukua siku 7 tu kufika 196.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…