Cristiano Ronaldo asujudu baada ya kufunga goli muhimu

Kama usemayo ni kweli huoni kuwa kajirekebisha kwa vitendo? Hongera kwake.
Bibi Faiza kwahiyo Christ kakupigia simu kakuambia siku hizi anafuata dini ya kiarabu???? Pia unasrma kunatrend wazungu wanasilim vipi kuhusu waarabu wanaohamia dini nyingine hawatrend Bibi Faiza??????
 
Ni kweli, nimesikia pia habari hii ikitangazwa na misikiti ya huku kwetu, nikawa sielewi elewi, baada ya kukuta uzi humu ndiyo sasa nimeelewa.
 
Bibi Faiza mimi mwenyewe pale Beirut nimesujudu sana nikala hela za washia na passport walinitengenezea washikaji wangu kutoka Abuja nilikua naitwa Abdul al Kareem al Majeed...Hakuna watu wepesi kucheza na akili zao kama waarabu kwa kupitia dini.....
 
Safi sana, tena tukishuhudia anasilim atazawadiwa binti wa kifalme.

Raha iliyoje.
Bibi Faiza kwahiyo nyie waarabu na dini ya kiislamu wanawake ni zawadi mnamzawadia mtu yoyote????? Kwahiyo gangster MBS (Crown prince of Saud royal family) atamzawadia Christ mdogo wake alale nae?????
 
Mfano dunia nzima tukiwa Imani unayopenda labda utaongezeka nini.
Religion creates disunity among societies
Sentensi yako ya Kingereza imejibu swali lako la Kiswshili.

Uko powa sana, unauliza kwa Kiswahili unajijibu kwa Kingereza.
 


(kuna nini nyuma ya CELEBRITIES conversion)?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…