Cristiano Ronaldo asujudu baada ya kufunga goli muhimu

πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Kwa matendo yao...

Tusidanganyane.
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† Nilikua sijui kumbe ile style ya kushangilia ni style ya msalaba
Anhaa, leo umejuwa na umejuwa style ya kushangilia kwa kusujudu ni kujisalimisha kwa Allah kwa vitendo.
 
Sasa Alhaji Tyson anavuta mpaka akiwa saudia mecca hapo inakuaje bibi Faiza??????? Afu nimekuuliza maswali meengi mbona umeyakwepa kuyajibu???
Sijamuona mimi akivuta, nnachofahamu kawekeza kwenye kilimo cha bangi na wateja wake ni makampuni ya kutengeneza madawa.
 
Kuna bingwa wa zamani wa kickboxing anaitwa Andrew Tate juzi juzi Kaiona nuru ya Uislam.

Umeipata hiyo?
Tate alishakamatwa baada ya kusilimu akaanza kuiga matendo ya muhammad
Kafuata kuoa wanawake wengi
 
Kweli ajuza anatumia opium
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…