πππHii ya kusujudu ni kwa wanadamu wote bila kujali dini yao.
Ila sisi Wakristo tunafanya kwa moyomoyo kuliko kufanya kwa vitendo zaidi ambako ndani yake kuna unafiki.
Limtu linasujudu huku ndani kamweka mwanae ndondocha. Li mtu linasujudu huku mfukoni ana majini
Hawa wapuuzi hawanipi saida. Nawajua vyema maana nami nilikuwa hukohuko kwenye upuuziπππ
πππ We ulihama upande ukahamia huku kwenye fifimotoHawa wapuuzi hawanipi saida. Nawajua vyema maana nami nilikuwa hukohuko kwenye upuuzi
Yesπππ We ulihama upande ukahamia huku kwenye fifimoto
Kwa hio unasemaje mkuu Ronaldo kakosea au kapatia ? π
sahizi upo wapiHawa wapuuzi hawanipi saida. Nawajua vyema maana nami nilikuwa hukohuko kwenye upuuzi
Kwa matendo yao...Hii ya kusujudu ni kwa wanadamu wote bila kujali dini yao.
Ila sisi Wakristo tunafanya kwa moyomoyo kuliko kufanya kwa vitendo zaidi ambako ndani yake kuna unafiki.
Limtu linasujudu huku ndani kamweka mwanae ndondocha. Li mtu linasujudu huku mfukoni ana majini.
Nitajie kiongozi wa dini ya mudi ambaye si mchawi nikate bakora yangu nisizae tena
Sasa Alhaji Tyson anavuta mpaka akiwa saudia mecca hapo inakuaje bibi Faiza??????? Afu nimekuuliza maswali meengi mbona umeyakwepa kuyajibu???Kabisa tena, haramu ni kitendo si mmea. Hujakosea.
Kila mwamba ngoma huvutia kwake.Kwa matendo yao...
Tusidanganyane.
Bibi mbona uarabuni kuna mashoga na wafiraji wengi kuliko ulaya na urusi na marekani????Useme wewe uniulize mimi? Ajisilim si, ndiyo japinga manakoozwa na kuruhusu mashoga, hupajuwi?
Sijamuona mimi akivuta, nnachofahamu kawekeza kwenye kilimo cha bangi na wateja wake ni makampuni ya kutengeneza madawa.Sasa Alhaji Tyson anavuta mpaka akiwa saudia mecca hapo inakuaje bibi Faiza??????? Afu nimekuuliza maswali meengi mbona umeyakwepa kuyajibu???
Tate alishakamatwa baada ya kusilimu akaanza kuiga matendo ya muhammadKuna bingwa wa zamani wa kickboxing anaitwa Andrew Tate juzi juzi Kaiona nuru ya Uislam.
Umeipata hiyo?
Kweli ajuza anatumia opiumView attachment 2633895
Baada ya kupiga bao muhimu Ronaldo akashangilia kwa kusujudu kama wafanyavyo Waislam.
Huu ni mwanzo wa Ronaldo kusilimu au ni raha za furaha iliyopitiliza (euphoria)?
Tumewahi kumuona mara nyingi, kama si zote, kila Ronaldo anapopiga bao huwa na kawaida ya kufanya ishara ya alama ya msalaba, kwa mara ya kwanza na ya kushangaza tunamuona Ronaldo akisujudu kama wafanyavyo Waislam uwanjani baada ya kupiga bao.
Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar.