Hujui lolote kuhusu football na hutakuja kujua. Kwa taarifa yako ukimtoa Messi wachezaji wengine wooote wa sasa ni takataka mbele ya Ronaldinho, labda kama hukuwahi kumuona.Watu wanaongea mambo ya msingi , mnaleta ujinga , jiheshimuni basi , Yani watu wanajadili Messi na Ronaldo unaingiza takataka Ronaldinho, kuweni serious
Basi Kimpembe ni bora kuliko RonaldoBallon zipi ya lewandoski na sjinder nazo unazihesabu kombe la Dunia Ata kimpembe wa PSG analo au hufahamu icho kitu
Yeyote anayeshinda lazima wale wasio mashabiki waumie mkuuKuna watu imewauma sana Messi kuchukua kombe la dunia
Huyu Jamaa bora apumzike tuHuna lolote we unaleta takwimu ambazo hata mtoto wa chekecha anaweza kukushangaa eti France leauge 1 ndio kitu Gani hicho
Christiano Ronaldo hamfikii hata Thierry Henry
Wengi mno, na wataumia sana mpk 2026Kuna watu imewauma sana Messi kuchukua kombe la dunia
Mbona kashapumzika mkuu alikua yuko huko madrid anajifuaHuyu Jamaa bora apumzike tuView attachment 2451275
Mwenyewe hataki kupumzika, bado anafukuzia WC ya 2026!Mjadala umefungwa
Muacheni Ronado apumzike kwa amani
Acheni kumtaja taja sasa
Ata Thomas muller ana kombe la Dunia Mario gotze, ngolo Kante, Cecs Fabregas, David Villa, usipagawe na kombe la DuniaAya, kachukua World Cup...unasemaje?
Ronaldo hana na Messi analo😃Ata Thomas muller ana kombe la Dunia Mario gotze, ngolo Kante, Cecs Fabregas, David Villa, usipagawe na kombe la Dunia
Unataka nipagawe na nini!!!??? Kwani hiyo Euro Ronaldo alichukua peke yake!!!???Ata Thomas muller ana kombe la Dunia Mario gotze, ngolo Kante, Cecs Fabregas, David Villa, usipagawe na kombe la Dunia
Ajabu ni kuwa Ronaldo hana!!!!!Ata Thomas muller ana kombe la Dunia Mario gotze, ngolo Kante, Cecs Fabregas, David Villa, usipagawe na kombe la Dunia
Atafika Hana shatiKatika jambo ambalo litamtesa cr7 maisha yake yote ni kutochukua World Cup na hasa akikumbuka kuwa Messi kashachukua. Kwa namna nnavyomfahamu msishangae akiforce World Cup ya 2026 akatimize ndoto yake
🤣🤣Angalau wewe ila hao team Cr7 sijui wamevutiwa na kitu gani kwa huyo jamaa!!!??? Au sura!?
Cristiano Ronaldo ana champions league tano 2008,2014,2016,2017,2018 Messi wako anazo ngapi
Una haki ya kuropoka kwa vile kombe limeenda Argentina!Cr7 afananishwe na akina Ibrahmovich na Lewandowski kumfananisha Messi na huyu CR7 ni kumvunjia heshima Messi