Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
Mkuu,Kumbe yapo vizuri
Sent
Muwamba ngoma siku zote huvutia kwake.
Na ukitaka uujue utamu wa ngoma, ingia uicheze.
Hakuna mtanzania atakayekuambia gari lake linakula mafuta mengi...daima aatalipigia kifua.
Gari siyo piki piki...Ukimuona mtu yupo mjini na Vitz kila siku, mpe heshima yake.
Watu wengi wanaokaa huko kwenye injini zinazozidi cc 2000 wanaumia maumivu makali sana ya mafuta, sema tu kila mtu anajua siri yake
Haya magari yenye injini kubwa kweli ni mazuri sana ila ili uyafurahie hakikisha uchumi wako kwa mwezi si chini ya 800,000 unayobakiwa nayo ukiwa umeshalipa pango, umeme, maji, mahitaji ya mwezi mzima ya familia na tahadhari pembeni.