Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

Musiba ni msiba!
Yaani kaandika wooote kasahau namba 11 ni WANANCHI wenyewe.
Bila wananchi hizo fujo zitatokeaje?na kama wananchi wahusika kwanini anaogopa kuwaorodhesha hapo?
 
Analipenda Taifa lake eti!!!!hv kwa akili yako kulipenda Taifa lako ni kueneza habari za kichochezi km hizi za kuwavisha ngozi za simba wenzio ili wapigwe mishale?Hao wote aliowataja kasoro Mange na Cha hali kuna mgeni ktk nchi hii??awamu zote c wamekuwapo? Umesahau ktk ziara ya mkuu wa nchi Kyle kigoma alimuinua Zito na kumpa sifa kedekede kwa kuwa alimuunga mkono ila kwa kuwa ss hv anamkosoa amekuwa hatari au vp? Amaa kweli ukistaajabu ya Musa unaona ya Musiba.
 
Rekebisha kauli yako sio wote wana akili kma za hyo wapo pia wenye tabia nzuri kushinda hata kabila lako
Aisee Didas badilisha ID ndugu maana kwa hilo jina,Yaani Didas wote niliokutana nao na kuwafahamu ni vilaza kuliko ukilaza wenyewe .
 
Simjui Musiba na sijui taarifa zake anazitoa wapi.

Lakini ukifuatilia social media feeds za watu anaowatuhumu utaona kuna kaukweli katika vitu alivyosema Musiba.

Mimi binafsi ninaamini kuwa CHADEMA is a TERRORIST organization.
Since when we Fyatu?comment yako inaendana na ID yako vile,Nyie ndo wachochezi mnaotafutwa mbakwe.Mnatufundisha madudu gani haya,inamaana kuna chadema mpya katika awamu hii?Acheni kuogopa kivuli chenu.Kumalo wee.
 
Cyprian Majura Musiba ni dalali wa kisiasa.

Lakini si kwamba ametumwa bali ameghafirika tu kisiasa na amekurupuka kwenda kwenye kamera.

Nashauri apuuzwe tu.
Ndo ishakula kwake tena,lazima afichwe lasivyo imbombo ngafu.
 
Yaani kwa ufupi huyu jamaa kishakuwa mahakama tayari, kinachonishangaza wanaropoka mambo hatari kwa usalama wa Taifa lakini hawachukuliwi hatua za kisheria ingekuwa vice versa tungesikia yupo rumande kwa uchochezi. ...!!
 
Jamaa amewataja hadi kwa majina lazima atakuwa na ushahidi wa kutosha.
 
Since when we Fyatu?comment yako inaendana na ID yako vile,Nyie ndo wachochezi mnaotafutwa mbakwe.Mnatufundisha madudu gani haya,inamaana kuna chadema mpya katika awamu hii?Acheni kuogopa kivuli chenu.Kumalo wee.
Kwa hiyo sio kweli kuwa Mange anaratibu machafuko (mapinduzi) hapa nchini?

Msigwa yupo mstari wa mbele kuunga mkono haya machafuko (nimeona postings zake).

Zitto, katika posting zake ameushauri upinzani kuwa kitu kikubwa kifanyike kabla ya 2020. Nadhani alijua ukifika uchaguzi wa 2020 vyama vya upinzani vitafutika.

Ni kitu gani kikubwa anachotaka kifanyike?

Safari ya Zitto hivi karibuni huko Ubeligiji na Oman, pamoja na watu aliokutana nao zaidi ya Lissu, inanifanya nijiulize maswali mengi.

Jamani msifanye mzaha. Upinzani wanajua kuwa kwa kasi hii ya Magufuli hawataambulia kitu kupitia sanduku la kura ifikapo 2019/2020.

Mkakati uliopo kwao ni kuivuruga hii nchi kusudi mataifa ya nje yaingilie kati. Kila dalili inaonyesha hivyo.

JAMBO JINGINE
Ni dhahiri kuwa wanaopata habari zao kupitia social media (JF, INSTA, TWITTER, FB, nk) ni wachache sana - wenye smart phones na computers. Kwa hiyo ili kuwapatia habari watu wa vitochi, hasa vijijini, Mange anaratibu usambazaji vikaratasi (vipeperushi) nchi nzima kwa ndege ili watu wasome kuhusu vurugu za April 26, 2018.

Ni nani anaemfadhili Mange kufanya hivi?

Watu wakinyamaza msifikiri ni wapumbavu.
 

Duu changanisha nchi na nchi, usa [emoji631] au German wakisikia na hakuna ushahidi si ni kosa?
 

Acha kumlisha maneno,.. Hakuwataja CIA bhana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…