Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

Ni kichekesho ila ni uchonganishi mbaya sana baina ya Tanzania na USA,
Mamlaka husika hazipaswi kulikalia kimya,nitashangaa kama serikali italikalia kimya hilo swala,
Ametoa tuhuma nzito sana ambazo zilitakiwa kutolewa na watu wa usalama kama ingekuwa kweli lakini,
Mpaka dakika hii ilitakiwa awe ndani kwa kuropoka mambo mazito namna hiyo
 
About Mange Musiba yuko sahihi. Ningeandika in deep about this, ila ngoja nipige kimya. Wenye akili muwe makini na upuuzi wake! Usiponielewa pita kimya!
 
Kwanini tusijadili hoja... Vipi kama ni kweli hawa watu wanatumika? Au ndio watu 500wamejaaa humu JF kupinga kwa nguvu zote
Unataka kusema hatuna mamlaka zinazoshughulika na hayo maswala mpaka yeye zero brain asiyejua chochote?
 
Unapata wapi nguvu ya kuutangazia umma wa Watanzania kwamba hawa ndugu zetu ni hatari??? Mamlaka unayatoa wapi Musiba.....??? Maana ya mtu hatari katika usalama wa taifa ni wewe wa kutoa hiyo hukumu na maamuzi ya kuwaita wenzetu Hatari???

Naombeni msaada ni nani huyu?? Anapata wapi mamlaka na nani amemtuma????

Simjui Musiba na sijui taarifa zake anazitoa wapi.

Lakini ukifuatilia social media feeds za watu anaowatuhumu utaona kuna kaukweli katika vitu alivyosema Musiba.

Mimi binafsi ninaamini kuwa CHADEMA is a TERRORIST organization.
 
Unapata wapi nguvu ya kuutangazia umma wa Watanzania kwamba hawa ndugu zetu ni hatari??? Mamlaka unayatoa wapi Musiba.....??? Maana ya mtu hatari katika usalama wa taifa ni wewe wa kutoa hiyo hukumu na maamuzi ya kuwaita wenzetu Hatari???

Naombeni msaada ni nani huyu?? Anapata wapi mamlaka na nani amemtuma????


hivi mange ni nani tanzania imekua nchi ya waropokaji,wanapingwa na wapinzani wao ila wanaungwa mkono na washirika wao, kama unajisaidia kichakani usishangae kumuona jirani yako akiingia kichaka hichohicho
 
Simjui Musiba na sijui taarifa zake anazitoa wapi.

Lakini ukifuatilia social media feeds za watu anaowatuhumu utaona kuna kaukweli katika vitu alivyosema Musiba.

Mimi binafsi ninaamini kuwa CHADEMA is a TERRORIST organization.
Maoni mengine ni sumu aisee.
Ina maana msajili alikosea akasajili waasi
 
Huyu jamaa anatia huruma aisee. Mange Kimambi anatumiwa na FBI?? 😀😀JPM alegeze vyuma kidogo aisee maana kuna baadhi ya wana CCM wanakaribia kuokota makopo.
 
Wengi wameona njia ya kutoboa ni kulamba "miguu".
Uteuzi unatafutwa!
 
Sasa watu tumefika mbali. Yaani mtu mmoja tu anaamka asubuhi na kuamua kuitukana nchi yake kuwa ni vilaza wala haina uwezo wa kubaini mambo mpaka waambiwe kwa press com. Only in Tz. Unawezaje mwanangu Sipiriani kuwatukana Tiss na makachero woote wanaolipwa mshahara ati wewe ndio unajua kazi kuliko wao?? Au unataka kutuambia kuwa wamenunuliwa na hao madenja 10?? Nimechoka kabisaaaa
 
Simjui Musiba na sijui taarifa zake anazitoa wapi.

Lakini ukifuatilia social media feeds za watu anaowatuhumu utaona kuna kaukweli katika vitu alivyosema Musiba.

Mimi binafsi ninaamini kuwa CHADEMA is a TERRORIST organization.
Kwenye propaganda na Uzushi huwa kuna watu wenye kusadiki na wasiosadiki, wenye Akili timamu hawawezi kumuamini ujinga huyo Msiba,
 
Sasa watu tumefika mbali. Yaani mtu mmoja tu anaamka asubuhi na kuamua kuitukana nchi yake kuwa ni vilaza wala haina uwezo wa kubaini mambo mpaka waambiwe kwa press com. Only in Tz. Unawezaje mwanangu Sipiriani kuwatukana Tiss na makachero woote wanaolipwa mshahara ati wewe ndio unajua kazi kuliko wao?? Au unataka kutuambia kuwa wamenunuliwa na hao madenja 10?? Nimechoka kabisaaaa
Blackmail za Makonda, wamemtuma afanye makusudi wakijua chadema watakuja juu kisha wapate sababu ya kuwabambikia kesi, njama zimesukwa na Le mutuz, Jerry muro, Lipumba na Makonda.
 
Poyoyo tu Hilo.Wengi wameona njia ya kutoboa ni kulamba "miguu".
Uteuzi unatafutwa!
Kwa njia hizo anazopita hakika hatapata Uteuzi wowote ataishia kuishi kwa kuunga unga pesa za Udalali wa siasa toka CCM na kwa Maliyamungu Bashite.
 
Mtu unaitwa msiba wa ccm huwezi kuongea kitu chenye maana,jamaa ni njaa kali wa lumumba na hivi hela hamna ndio lumumba fc wameanza kua machizi
Anashinda ofisini kwa Le mutuz na Maliyamungu Bashite mda mwingi na huko ndipo wamemtuma kuja na Sinema ya kizushi
 
Kwenye propaganda na Uzushi huwa kuna watu wenye kusadiki na wasiosadiki, wenye Akili timamu hawawezi kuamamini ujinga wa huyo mchumia Tumbo Msiba, lakini wale wajinga wajinga ndiyo huamini ufala kama huo.
Ni uongo kuwa Mange Kimambi anaratibu machafuko (Mapinduzi au Revolution) nchini ifikapo tarehe 26 April, 2018?

Ni uongo kuwa Mange anaratibu utaarishaji wa VIPEPERUSHI vya kuwamwagia kwa ndege wale wote wasiosoma haya kwenye SOCIAL MEDIA (hasa vitochi wa vijijini)?

It sounds like, feels like, and looks like a COUPE to me.

Nani anaemfadhili?

CHADEMA? Mashirika ya nje? Ni nani hao?
 
Back
Top Bottom