Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona majina yamefanana tuUnamzungumzia Willy Gamba au.....?!!
Halafu akaenda jeshini kwa cheti cha mtu. Baada ya muda mfupi akafukuzwa.Inasemekana alifukuzwa shule akiwa kidato cha 2 kutokana ile tabia ya kishamba ya vijana waliotokea vijijini ya kunyanyasa form 1 , enzi zile wakiitwa njuka .
Du hii njaa sasa imekamata watu pabaya,hao FBI wakimtaka athibitishe madai yake anao ukweli?Ameitisha press conference na kutaka vikosi vya usalama viwashughulikie bila huruma Mange Lissu,Mbowe,Maria Sarungi,Zitto na wengine WANNE kwa madai ya kuhatarisha usalama wa nchi na kutumiwa na CIA na FBI
Hana kazi anatafuta huruma ya Magu na Bashite
Kamsahau nabii titoWATU 10 AKIWEMO MANGE KIMAMBI WANAOTAJWA KUWA HATARI KWA USALAMA WA TAIFA
MTILAH BLOG / 42 minutes ago
MANGE KIMAMBI
Mkurugenzi wa Kampuni ya CZI, Cyprian Musiba leo Februari 25, 2018 amezungumza na waandishi wa habarina na kuwataja watu 10 hatari kwa usalama wa Taifa.
Musiba amesema serikali inatakiwa kuwa makini na watu wao kwani wanaweza kusababisha machafuko nchini .Musiba amewataja watu hao ni.
1.Mange Kimambi-Musiba amesema mange kimambi anatumiwa na FBI(Shirika la kijesusi la marekani)
2.Freeman Mbowe-Musiba amesema CHADEMA imepeleka vijan 500 ujerumani kwa ajiri ya kuratibu ajenda za kiarifu katika Taifa
3.Mari Sarungi-Musiba amesema maria sarungi kazi yake ni kuongea negative juu ya serikali
4.Zitto kabwe-Musiba amesema Zitto anahamasisha vyama vya siasa viungane viandamane tyarehe 26/04/2018 ili walete vurugu.
5.Lissu
6.John Heche
7.John Marwa (Alikuwa mlinzi wa Salum mwalim wakati wa kampeni Kinondoni)
8.Evarist Chahari-Mtanzania anaishiu Uingereza
9.Julius Mtatiro
10.Janja wind-Kikundi cha wafuasi wa CUF
Cyprian Musiba ameiomba serikali na vyombo vya ulinzi kuwafuatilia watu hao
Zaidi msikilize kwenye video hii hapa chini
![]()
Yaani anamtaja hadi Angela Markel...hivi balozi ya germany ikimwambia athibitishe atajibu niniAmeitisha press conference na kutaka vikosi vya usalama viwashughulikie bila huruma Mange Lissu,Mbowe,Maria Sarungi,Zitto na wengine WANNE kwa madai ya kuhatarisha usalama wa nchi na kutumiwa na CIA na FBI
Hana kazi anatafuta huruma ya Magu na Bashite
Mkuu... Kwani waasi walitoa wapi silaha nzito nzito za kupambana na Gadaffi.... Ushaambiwa kuna wafadhili! Inawezekana pia Fbi na cia, maana wao ni kwa maslahi ya usa.Huyu jamaa kweli hamnazo...hivi Chadema wanapata wapi pesa ya kupeleka vijana 500 wakapate mafunzo Ujerumani!?
Halafu kwa jinsi lilivyo tahira zaidi eti Mange anatumiwa na FBI,hivi hajui kama FBI inadili na Mambo ya usalama ndani ya Marekani pekee,Bora hata angesema CIA.
Halafu unawatuhumu hivyo FBI je serikali yao ikiomba uwape evidence wa hizo tuhuma zako uchwara,hapa tulipo tayari tuna mavikwazo bado waramba miguu ya Bashite wanataka kutuletea balaa lingine
Rekebisha kauli yako sio wote wana akili kma za hyo wapo pia wenye tabia nzuri kushinda hata kabila lakoTabia ni za kabira lake pure, alafu kama dish linalazimishwa lishacheza.
Maria Sarungi ameingiaje humo tena dada yangu huyu!!!!!??[emoji15][emoji15][emoji32][emoji32][emoji32][emoji33][emoji33][emoji33][emoji30][emoji30][emoji34][emoji34][emoji34][emoji20][emoji20][emoji20][emoji20]Ameitisha press conference na kutaka vikosi vya usalama viwashughulikie bila huruma Mange Lissu,Mbowe,Maria Sarungi,Zitto na wengine WANNE kwa madai ya kuhatarisha usalama wa nchi na kutumiwa na CIA na FBI
Hana kazi anatafuta huruma ya Magu na Bashite