Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

Mkuu hapo #1 tangu lini FBI wakawa shirika la kijasusi? Hii inakupa quality ya uzi mzima kuwa bwana Musiba ni Jogoo toka mashambani kuwika mjini ni kwa nadra sana.
Jamaa amekuwa kituko sana. Sometimes huu uanaharakati unawafanya watu wawe kama wendawazimu.
 
Huyu jamaa kweli lofa, watu wanaodai haki anawaita watu hatari? watu wanao ikosoa serikali anawaita watu hatari? Hovyo kabisa. Yaani atutakiwi kuhoji uovu unafanywa na hii serikali? Kama Lisu ni mtu hatari, anataka kutuambia waliotaka kumuua ndio wazalendo?? Eti Mange anatumiwa na FBI hawakuliona hilo wakati anakampeni for CCM 2015?? Eti Zitto Kabwe, Mbowe, Heche?? Hii ndio agenda ya CCM kutaka kuuwa upinzani na kujifanya miungu watu, kana kwamba wao hawakosei.
FBI watamnyoosha vizuri kwa kuwapakazia Uongo.
 
Ni uongo kuwa Mange Kimambi anaratibu machafuko (Mapinduzi au Revolution) nchini ifikapo tarehe 26 April, 2018?

Ni uongo kuwa Mange anaratibu utaarishaji wa VIPEPERUSHI vya kuwamwagia kwa ndege wale wote wasiosoma haya kwenye SOCIAL MEDIA (hasa vitochi wa vijijini)?

It sounds like, feels like, and looks like a COUPE to me.

Nani anaemfadhili?

CHADEMA? Mashirika ya nje? Ni nani hao?
Hivi ni kweli FBI wanaichunguza Tanzania kupitia Mange?
Hivi Mange ni RAIA wa Marekani?
 
Yule na niniiii
Msihangaike ...katumwa na DAD. Kweli ccm INA upungufu wa akili kichwan. Ukimwangalia machoni na mdomon utajua tu amemezeshwa maneno. Harakati za Daudi bashite na wajinga wenzake n za kishamba haijawai tokea. Wazee wa nchi ya viwonder. Ngija FBI wake wakufinye makende. Unaitamka FBI kama unatamka chupi ya mkeo.
 
Mtu hatari Tanzania ni mmoja tu ni dhalimu aliyejaa dhuluma, muongo, mwizi, fisadi na hata hivi karibuni Baraza la Maaskofu wa Kikatoliki nchini limemuonya na kumtahadharisha.

WARAKA: Maaskofu Katoliki waonya uminywaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari nchini









Unapata wapi nguvu ya kuutangazia umma wa Watanzania kwamba hawa ndugu zetu ni hatari??? Mamlaka unayatoa wapi Musiba.....??? Maana ya mtu hatari katika usalama wa taifa ni wewe wa kutoa hiyo hukumu na maamuzi ya kuwaita wenzetu Hatari???

Naombeni msaada ni nani huyu?? Anapata wapi mamlaka na nani amemtuma????

 
Nimelazimika kuangalia hii video.

Kwanza nimecheka sana. Siwezi kumbishia Bwana Msiba maana anaweza kua na sababu zake hata kama ni za kipumbavu ila bado anaziamini kua ni sababu.

Nilichogundua elimu ndogo na uelewa mdogo bado ni changamoto katika jamii yetu, kama huyu alikua mtangazaji na mwandishi wa ha ari basi hii nchi ina matatizo makubwa.

Kwanza Musiba anaonekana hajui au hana ufaham kabisa tofauti kati ya FBI na CIA. Anaituhumu FBI lakini kimantini ni CIA kama kweli anachokisema kiko hivyo, FBI haifanyi kazi za ujasusi na haivuki mipaka ya Marekani, hawa ni polisi wa Marekani na sio taasisi ya kijajusi nje ya Marekani.

Pili, Musiba hata maneno ya kawaida tu yanamshida kuyasarufisha, Uasi yeye anasema ni Uhasi.

Little learning is very hazardous. Stupidity is still common among Tanzanias.
Mkuu kama hujui kati ya taaluma iliyojaa mazwazwa ni uandishi wa habari na watangazaji wengi wap hawana hata uelewa mdogo wa mambo.
 
Oh! Misiba amejiongezea maadui sasa...
Kauli yake inaweza kummaliza.
CCM inaweza kummaliza kutake advantage...
 
Huyu jamaa kweli kapikiwa hii hotuba yake uchwara maana ingekuwa kaandika yeye asingebabaika. Pia, kulituhumu jeshi la polisi au usalama wa taifa kuhusika na hii hotuba fake sioni kama ina mashiko...usalama wa taifa wako vizuri na reasoning capacity yao iko vizuri...hii ni sifa muhimu ktk utendaji wao...so tusiwahusishe na hii hadithi isiyo na mashiko...vijana wetu wako makini sana.

Hii labda hata mngeihusisha na Green Guards wetu.
 
bila shaka huyu msiba katumwa na bashite. ni kweli ccm siwapendi na siwakubali lakn siami kwamba wamekosa watu makini kias hiki.

mtu pekee ambaye kazi yake haikosi kasoro ni bashite tangu nimjue hajawahi kuratibu mambo yake yakanyoka bila kona kona. huyu lazma katumwa na Bashite tena nasisitiza huyu katumwa na bashite.

et mtu ambaye amewahi kuwa mwandishi wa habari lakn kichwa kichwa hajui hata kazi ya FBI na CIA . hapana huyu katumwa na kabeba hotuba kama ilivyo na kuileta mbele ya kamera.

si mnakumbuka yale majina ya bashite. rose wa mabibo namtaka ijumaa kituon ni muuza madawa . ngoja nicheke mie
 
Huyu jamaa inawezekans kaambiwa, hakuchanganya na za kwake.
Kaziwakilisha kama alivyopewa.
 
Cyprian Msiba hajanitendea haki kabisa kuniacha kwenye orodha yake ya watu Hatari. Hii kitu imeniuma Sana. Na amefanya tu maksudi kutonitaja. Wakati ananifahamu Tena Mimi kwenye listi Ni watatu baada ya dada wa Taifa Da Mange.

Nimeshakutana Na jopo la wanasheria wangu for legal advice on how to tackle this issue technically so that we can Force him to mention me on his list through court procedure.

Jamaa LAZIMA anitaje tuu hamna namna.

Wakudadavuwa ISIS Mudawote MsemajiUkweli Frey Cosseny MOTOCHINI barafuyamoto stroke jingalao Troll JF tang'ana
 
Cyprian Majura Musiba ni dalali wa kisiasa.

Lakini si kwamba ametumwa bali ameghafirika tu kisiasa na amekurupuka kwenda kwenye kamera.

Nashauri apuuzwe tu.
 
Back
Top Bottom