Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

Instagram ndio kijiji gani?kwa hiyo hicho kijiji cha instagram ndiko ndege imemwagwa hivyo vipeperushi?, na hiyo/hizo ndege zinazotumika hazionekani?
Alafu hujajibu hiyo ndege iliruka toka wapi.
 
Mkuu ni ajabu tuna mammbo lukuki ya kiuchumi, kielimu nk yanayohitaji kuongelewa ili nchi isonge mbele hayaongelewi. Nahisi kuna mahali kuna tatizo. Kuna mtu alisema,inawezekana Nyerere bado anatuona kiroho na anafanya yake kwa vile tumeanza kugawanyika ovyoovyo kupitia mawazo ya watu kama hawa! So sad!
 
Ni kweli kabisa maana mpaka kusema chama za Germany CDU akaona tabu kuelewa maana ya U ikabidi abadili CDP akajuwa P lazima itakuwa party lakini U mhh. ni vitu vidogo lakini inakuwa idea ni mtu wa aina gani si angejiandaa tu kusoma sehemu chama cha CDU kwa urefu ni nini. ndio ujue katumwa sasa hakukariri vizuri ni kama mtihani hujaelewa ila umekariri tu sasa ukisahau neno moja tu umepoteza maana.
 
Umesomea mambo haya au unajisemea tu kwa hisia kama huyo musiba? Narudia tena, raia hawezi kuitisha press akiituhumu nchi nyingine katika masuala makubwa kama hayo. Yeye hana jukumu hilo. Angepeleka ushahidi wake kwa mamlaka zinazohusika. Je Marekani na Ujerumani kama wakitaka ushahidi atakuwa nao? Ni mgogoro mkubwa huo ikiwa serikali haitamkamata kuonyesha kuwa alichokifanya ni against na national law na kwamba serikali haikubaliani na maoni hayo. Mamlaka ya kutangaza watu hatari kwa usalama wa nchi musiba ameyatoa wapi? Tusijitoe akili kwenye mambo ya msingi.
 
It might be he is trying hard to press the key issue of the 26 April this 2018 but he is not part of it.....my very question is that, is this Musiba a real Tanzanian??????
 
Mjinga Sana. Alichofanya amezidi kuipaisha tarehe 26/04/2018. Mange Kimambi is linked to CIA and FBI! That's GOOD NEWS! Change, Yes we Can. Mmeanza kuweweseka? This is for Real.
 
Msiba ni Bonge la mshamba fulani na tayari watanzania wenye Akili Timamu walishampuuza ktambo ni wananchi wachache wenye Akili ndogo wanaweza kumwamini na waumini wake na Boss wao Maliyamungu idd Amin Bashite Safari hii watadunda kwenye kiki yao ya kishamba.
 
But why public presentation???
 
Mwacheni huyo jina tu linasadifu kuwa ni waukoo wa israel mtoa roho..! Msiba matanga yakiisha tutasahau tuuh.
 
Hivi waandishi habari nayo majinga ukweli.Unaanzaje kusikiliza ujinga wa hili jike dume??Nimekerwa linatumbua mimacho bila aibu kutaja majina ya wanaume wenzake!!!!Hili linaweza likawa dume jike hatari kuliko mtu yeyote.
Siyo Wote Mkuu..Tungepata Waandishi Kama 10 Mfano wa Pascal Mayalla ,Chaz Hillary.. nk Watanzania Walio wengi wange-Elimika sana..Hili Musiba hata huko kwenye Habari halikufanikiwa sababu ya upeo mdogo..Siasa ndiyo atapotea kabisa..
 
is your brain wa
washed already...??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…