unajua maana FBI na kuna tofauti gani kati ya FBI na CIAMkuu hapo #1 tangu lini FBI wakawa shirika la kijasusi? Hii inakupa quality ya uzi mzima kuwa bwana Musiba ni Jogoo toka mashambani kuwika mjini ni kwa nadra sana.
Siku nikiupata tu wasifu wako.wewe jinga jinga jinga lao.naacha kutumia jf.wewe una akili ndogo sana sana sana mkuu.ndogo kwa maana ya ndogo na ni adui mkubwa wa taifa hili.ulaaniwe wewe na wanaokutuma.shetaniKila mkosoaji wa Chadema lazima muulizie wasifu wake..
mtaulizia wananchi wa nchi nzima sasa mkidhani wanatumiwa na CCM
Na mshamba kuliko washamba wenzake akina Le mutuz, Jerry muro, Lipumba na Maliyamungu Bashite.Musiba ndio mtu hatari pumbavu kabisa.....
Atakuwa kasikia kuna nafasi za uteuzi ,so anajaribu bahatai yake.Ameitisha press conference na kutaka vikosi vya usalama viwashughulikie bila huruma Mange Lissu,Mbowe,Maria Sarungi,Zitto na wengine WANNE kwa madai ya kuhatarisha usalama wa nchi na kutumiwa na CIA na FBI
Hana kazi anatafuta huruma ya Magu na Bashite
Unashindw kutafutia dawa wanaofany mauwaji kila cku unatka w ughaibun.WANTED! Hasa hao walioko ughaibuni! Ndo wa kutaftia dawa!
FBI na CIA wenyewe watamnyoosha kwa kuwasingizia Uongo kwani wasipomwadhibu ataendelea kutengeneza Majungu, fitna feki na ujinga ujinga mwingi anaofundishwa na Madalali wa siasa wa CCM.Ameitisha press conference na kutaka vikosi vya usalama viwashughulikie bila huruma Mange Lissu,Mbowe,Maria Sarungi,Zitto na wengine WANNE kwa madai ya kuhatarisha usalama wa nchi na kutumiwa na CIA na FBI
Hana kazi anatafuta huruma ya Magu na Bashite
CIA ni Shirika la kijasusi la marekan, na mara nyingi linafanya shughuli zake nje ya mipaka ya marekani kwa masirahi ya marekeni, Kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni, na FBI ni shirika la upelelezi la marekani.unajua maana FBI na kuna tofauti gani kati ya FBI na CIA