Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

Kuna watu ni wajinga sana kwenye hii nchi, wanatia mpaka kichefuchefu
 
Halafu unaweza kushangaa huyu mlemavu wa akili naye ni sehemu ya serikali.
Haya yote kayataka Rais kupemda kusifiwa tu na kuteua, sasa amewafanya vijana na wapambe wa chama chake kuwa mazezeta na watumwa.
Kwa nchi inayoongozwa na watu wenye nia njema basi leo Musiba alitakiwa akalale central, jukumu la kutangaza watu hatari kwa usalama wa nchi sio la Musiba, ila jambo la kushangaza Amiri jeshi mkuu anaweza kumpongeza.
Musiba hatakiwi kuachwa aendelee kuyafanya haya, kama CCM wana akili zote basi wajue huyu kichaa anaharibu hata yale mahusiano madogo yaliyobaki kwa nchi kama America.
 
si alimpa siku 2 Tundu aombe msamaha la sivyo atamfungulia mashataka the Hague, sasa je keshafungua, naona kimya, mie naona anapoteza muda wa waandishi wetu
 
Hivi hiki anachofanya sio uchochezi?,,,vipi kama wangefanya upande wa pili, kesho si wangehitajika central?,,,,mwenzake murro aliongea wee lkn teuzi haikuwepo
 
nimeangalia youtube nimecheka sana,na waandishi wa habari muwe na akiri mnaitwa na kila mtu mnakwenda tu.shame on you.
 
Halaf FBI wanaweza kumuomba ushahidi huyu jamaa akaanza kutumbua macho. Halafu anavyoonekana hajielew, mwanzo anasema Mange anatumika na FBI then anasema hana kazi ni kahaba tu marekan sasa sijui akili yake kaisahau wap mpaka anafka kuongea na press.
 
Du hii njaa sasa imekamata watu pabaya,hao FBI wakimtaka athibitishe madai yake anao ukweli?
Halafu hii ni dharau kwa mamlaka husika kwamba hazifanyi kazi ,ila yeye tu ndo anafanya kazi anatakiwa ahojiwe na ikibi ashitakiwe
 
amewatuhumu baadhi ya watu kuwa ni hatari kwa taifa mfano ni mbowe,mange kimambi,Maria sarungi,zitto,john Heche, na wengineo.
 
Waliomtuma wanaweza kumgeuka wakamteka wakamtesa na kumuua then ije ionekane CHADEMA kwenye maisha lazima uwe machale au akili.ya ziada

ajitafakari sana
maisha yako kasi sana
yuko wapi NAPE NNAUYE leo hii
yuko wapi RAMADHANI MAPURI

maishia hapo tu
 
Kamsahau nabii tito
 
Yaani anamtaja hadi Angela Markel...hivi balozi ya germany ikimwambia athibitishe atajibu nini
 
Huyu musiba na Jerry muro wana nafasi gani katika serikali hii mpaka Waite waandishi wa habari kuongelea masuala ya kitaifa au ni kujikomba kutafuta uteuzi
 
Mkuu... Kwani waasi walitoa wapi silaha nzito nzito za kupambana na Gadaffi.... Ushaambiwa kuna wafadhili! Inawezekana pia Fbi na cia, maana wao ni kwa maslahi ya usa.
 
Kwanini tusijadili hoja... Vipi kama ni kweli hawa watu wanatumika? Au ndio watu 500wamejaaa humu JF kupinga kwa nguvu zote
 
Maria Sarungi ameingiaje humo tena dada yangu huyu!!!!!??[emoji15][emoji15][emoji32][emoji32][emoji32][emoji33][emoji33][emoji33][emoji30][emoji30][emoji34][emoji34][emoji34][emoji20][emoji20][emoji20][emoji20]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…