Dada akodi bus zima la Abood akiwa yeye na mtoto wake pekee

Mshamba tu huyu hana lolote, bila shaka atakuwa masalia ya sukuma gang..! Ndo publicity zao hizi!
 
Amejipa Raha mwenyewe. Kwa udogo wa huyo mtoto, atakuwa alilala muda mfupi baada ya basi kuanza kutembea, na Kwa sasa hata hakumbuki hilo tukio, kama ambavyo lililokuwa linatokea, hakujua umuhimu wake.
 
Hizi story copy and paste mbaya sana jamani.. angalia huu ujinga unavyo trend. Dada wa watu kajipigia tu picha yashakua haya
 
Kuna siku Mke wa David Benkam, Viktoria Benkam, alienda saloon mtaa wa pili kwa Haikopta, wambea walipomuuliza kisa Cha kwenda mtaa wa pili kwa helkopta ni Nini, aliwajibu kwa ufupi 'kwani kazi ya pesa ni nini?'
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Amkodishie mtoto ndege au boti ya kisasa,njiani magari mengi,matututa na mashimo. Mtoto hajainjoi vizuri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watajaa wanachuo hizo dala dala aan wanapenda sana sifa lol.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…