Kama leo inata kila mtu anaponda nyumba ya luludiva wakati ule ndio uhalisia wa maisha yetu 90&%.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii nchi una watu wa ajabu sijawahi ona mweeeeh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe nawee umeona? Nlikua nacheka comments za fb lolKama leo inata kila mtu anaponda nyumba ya luludiva wakati ule ndio uhalisia wa maisha yetu 90&%.
Umejuaje kama ni single mom,!?Msongo Wa Mawazo mchezo...!
Huruma kwa huyo mtoto tu , Singo Maza wengi huwa hawawatendei haki Watoto!
Hio daladala labda imshushe kila mtu getini au bar nzuri
Hio daladala labda imshushe kila mtu getini au bar nzuri
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mi ningemshauri wakati wakurudi angekodi mabasi mawili sababu wapo wawili....super champion au burudan
Unaponiambia nitumie akili you're insulting my intelligence naomba tusifike huko mkuu. Publicity or not, she did it for own reasons.Sas
Tumia akili, alichonunua ni hii publicity unayompa. Pia hiyo picha haimaanishi ulichosema ni kweli
Saafi sana.πππππ sio kwamba hana magari yake.anayo.Mbona wenzetu wanatoka hukooo mbali wanatumia zaidi ya mara 4 au 5 ya hii.Naunga mkono.Huyu dada amekodi Bus la ABOOD akiwa yeye na Mwanae tu basi zima Bus limetoka Morogoro hadi Dar es salaam tena kupitia Bagamoyo, lengo ni kufurahi tu yeye na mwanae. Amelipia zaid ya Laki sita kukodi gari hilo.
ππ
View attachment 2052624ππ
Mkuu umeongea kwa bonge la foam [emoji1787][emoji1787][emoji1787]wamezoea kupokea kutoka kwa madume bila kuvuja jasho ndo maana hawana uchungu na pesa.
wanachojua ni kunyosha mguu na kuinamia mikuyenge tuu
na wa kuhongwa wengi wao hawana marinda ni mwendo wa kuchafua hali ya hewa ovyo,
kujinyea ovyo tuu na kuvaa pampas kama mtoto kumbe jidada zima au jimama kabisa.
Ni kitu Cha ajabu sana mkuu, wabongo sijui uwafanyie nini. Leo hii mfano diamond Platnumz akaamua kupanda dalala kutoka madale kwenda posta, maneno hayatoweza kukosekanaVijana wana stress na makasiriko sana. Hela yake,kaamua kukodi bus hasira wanapata wengine! Unataka kumpangia mtu jinsi ya kutumia hela zake?
Mwishoni anaomba poo,muda ni mzuri sana kusubiriItakuwa katemwa huyu sasa anataka kuonyesha umwamba kwa huyo baba wa mtoto kuwa yeye ni mwanamke wa shoka kama wenyewe wanavyo jiita.
Kwavyovyote tu huyu hakosi kuwa wale wanawake wanaotaka kuwa wanaume kwenye familia zao mwisho wanajikuta na stress.
Huruma ni kwa huyu mtoto kwasababu mama atafanya yote ili kumkomoa baba ila kuna wakati utafika atachoka kufanya haya anayo yafanya mwisho atamtumia mtoto kama fimbo kumchapia mzazi mwenzake pamoja na kumjaza sumu mtoto kwa zile kauli "huna baba wewe ".
Mbona kila siku tunawaza mabaya tu.Nani kakwambia kuwa huyu dada sio mwanandoa.Hayo ni makubaliano yao wawili.Mme yuko zake nje kikazi ni mfanyabiashara xmas hatakuwepo nchini.Mama naye kapata hiyo offer.Itakuwa katemwa huyu sasa anataka kuonyesha umwamba kwa huyo baba wa mtoto kuwa yeye ni mwanamke wa shoka kama wenyewe wanavyo jiita.
Kwavyovyote tu huyu hakosi kuwa wale wanawake wanaotaka kuwa wanaume kwenye familia zao mwisho wanajikuta na stress.
Huruma ni kwa huyu mtoto kwasababu mama atafanya yote ili kumkomoa baba ila kuna wakati utafika atachoka kufanya haya anayo yafanya mwisho atamtumia mtoto kama fimbo kumchapia mzazi mwenzake pamoja na kumjaza sumu mtoto kwa zile kauli "huna baba wewe ".
Hahahahah kweli lakini maana mjuba kulipa. Luteni kisa tu AC na bia ni uongo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watajaa wanachuo hizo dala dala aan wanapenda sana sifa lol.
Rangi iliopakwa kwenye machuma yanayotembea vinaleta furaha?Huyu dada amekodi Bus la ABOOD akiwa yeye na Mwanae tu basi zima Bus limetoka Morogoro hadi Dar es salaam tena kupitia Bagamoyo, lengo ni kufurahi tu yeye na mwanae. Amelipia zaid ya Laki sita kukodi gari hilo.
ππ
View attachment 2052624ππ
πππ ndio ivyo mkuu,kuna. Watu humu wakikosa chakucomment wanatafuta minor errors tu ili wakosoe.πππππππππππ mambo yasiwe mengi
Watakwambia ana stress. Kumbe wao ndio stress zimewazidi hadi kutaka kila mtu aishi kama waoWengi wana Husda na roho mbaya, ndio maana unakuta mtu ukisema ukweli kuwa una kitu fulani ambacho wengi wao hawana wataanza kubeza kwa kuwa tu hawana uwezo nacho
Huku last year kuna msichana kazini ameenda round trip duniani kwa Meli
Kakusanya hela mwaka mzima akafanikisha dhamira yake miezi 3 na kazi aliacha
Aliporudi akaomba tena akapewa
Sasa huyo sijui wangesemaje hawa wachawi [emoji23][emoji12]
Mawazo ya kimaskiniItakuwa katemwa huyu sasa anataka kuonyesha umwamba kwa huyo baba wa mtoto kuwa yeye ni mwanamke wa shoka kama wenyewe wanavyo jiita.
Kwavyovyote tu huyu hakosi kuwa wale wanawake wanaotaka kuwa wanaume kwenye familia zao mwisho wanajikuta na stress.
Huruma ni kwa huyu mtoto kwasababu mama atafanya yote ili kumkomoa baba ila kuna wakati utafika atachoka kufanya haya anayo yafanya mwisho atamtumia mtoto kama fimbo kumchapia mzazi mwenzake pamoja na kumjaza sumu mtoto kwa zile kauli "huna baba wewe ".
Akili za kimaskini hiziPole dadaa kwa tabu ulizozipata..hiyo fedha laki sita bora ingeenda kuwasaidia wasiojiweza tu!