Dada Maria Sarungi sijakuelewa zaidi hapa nakuomba unifafanulie kwa kina tafadhali ili wenye 'IQ' kubwa tukuelewe

Dada Maria Sarungi sijakuelewa zaidi hapa nakuomba unifafanulie kwa kina tafadhali ili wenye 'IQ' kubwa tukuelewe

Sijui Kiingereza, Kiingereza siyo Lugha yangu Kuu ya Kimawasiliano na Lugha pekee ambayo najivunia nayo na hata UN kupitia UNESCO wameitambua kwa kuiwekea tarehe yake Maalum kila tarehe 7 July ni ya Kiswahili.

Hivyo hata siumii au sishangai nikiambiwa kuwa sijui Kiingereza ambayo pia hata Mashoga (Wapiga Mluzi) wengi Wanaipenda na Kuishobokea Kutwa.

Nakuomba sasa Wewe Muingereza wa Tandale kwa Mama Paka unitafsirie tafadhali hicho Kiingereza cha huyo Dada alichokizungumza baada ya Tukio la 'Kujiteka ili Wazungu Wafadhili Wanilipe Fedha nyingi na Nipate Umaarufu' ili Maisha yaendelee.



Hebu onyesha wapi amesema wakaanza kuogopa na kuhisi najua mipango yao
 
View attachment 3200963

Hebu tafsiri wapi amesema ""Niliwasikia wakiongea na Simu na Boss wao ndipo nami nikawauliza kumbe mna Boss wenu na wakaanza Kuogopa na kuhisi kuwa
najua Mipango yao"amesema Mtekwaji wa Dharula nchini Kenya Maria Sarungi."
mwananchi_official

Mwanaharakati na mhariri wa kujitegemea, Maria Sarungi, amesema baada ya kuachiwa jana usiku na watekaji, walimtaka asiongee na mtu yeyote na asizungumze chochote kuhusu tukio hilo.

Maria amesema hayo leo, Jumatatu Januari 13, 2025, alipozungumza na waandishi wa habari jijini Nairobi kuhusu utekwaji wake.

“Walivyoniachia ilikuwa usiku—nakumbuka waliniteka kati ya saa 9 alasiri na walivyoniachia, waliniambia nisiongee na yeyote na nisiseme chochote. Ninachokumbuka, walitaka simu yangu na walikuwa wanazunguka nami huku wakisema wanamsubiri bosi wao. Nikawauliza, 'Kumbe mna bosi?' Walikasirika kwa kuhisi nimeanza kujua mipango yao,” amesema Maria.

Hopeless....!!
 
Kamba ikiwa fupi huwezi kula hasa endapo majani yaliyo katika size ya urefu wa kamba yanapokua tayari yameisha... Ili uendelee kula lazima uongeze urefu wa kamba au uifungue uwe free agent.

NB: Usiwe mwepesi wa kuamini Kila unachokiskia lakini pia usipuuze Kila unachokiskia, kuwa nyutro ili ujiwekee uwezo mkubwa wa kuchakata taarifa ili uweze kupata ukweli.
 
mwananchi_official

Mwanaharakati na mhariri wa kujitegemea, Maria Sarungi, amesema baada ya kuachiwa jana usiku na watekaji, walimtaka asiongee na mtu yeyote na asizungumze chochote kuhusu tukio hilo.

Maria amesema hayo leo, Jumatatu Januari 13, 2025, alipozungumza na waandishi wa habari jijini Nairobi kuhusu utekwaji wake.

“Walivyoniachia ilikuwa usiku—nakumbuka waliniteka kati ya saa 9 alasiri na walivyoniachia, waliniambia nisiongee na yeyote na nisiseme chochote. Ninachokumbuka, walitaka simu yangu na walikuwa wanazunguka nami huku wakisema wanamsubiri bosi wao. Nikawauliza, 'Kumbe mna bosi?' Walikasirika kwa kuhisi nimeanza kujua mipango yao,” amesema Maria.

Hopeless....!!


Kumbe unasoma zilizotafsiriwa sikiliza mwenyewe useme ni wapi amesema hivyo ulivyoaandika
 
Haya mambo mpaka yakukute ndio utaelewa kuwa huelewi. Mara nyingi kama hujawahi kuwa muhanga au mtu wa karibu na muhanga wa jambo fulani sio rahisi kuujua undani wa jambo husika na huwa tunapuuza mpaka siku linapotufika.
In english please..!
 
"Niliwasikia wakiongea na Simu na Boss wao ndipo nami nikawauliza kumbe mna Boss wenu na wakaanza Kuogopa na kuhisi kuwa najua Mipango yao"amesema Mtekwaji wa Dharula nchini Kenya Maria Sarungi.

GENTAMYCINE sijawahi kuona Watekaji wanaomuogopa yule Waliyemteka halafu Wanawasiliana kwa Uwazi mambo yao ya Ndani ya Gari walilombeba Mateka wao / Waliomteka.

Anyways mwaka huu kwakuwa tunataka pia Kutumika Kisiasa ili Wafadhili wetu Watoboke mifuko yao na Maisha yetu yazidi kuwa mazuri huenda tukaona Vituko vingi na Script nyingi za Matukio kuandaliwa vibaya na mikakati Kubuma.

Hakuna Kitu GENTAMYCINE nachukia kama Uwongo na tena huo Uwongo ukifanywa na Mtu ninayemuamini kutokana na IQ yake kubwa kama Tate Mkuu, Bila bila, Leejay49, mrangi, ngara23, Extrovert na King Kong III
Hujawahi kutekwa na unaanza kutilia mashaka waliotekwa.
Binadamu hovyo kabisa
 
View attachment 3200967
Kumbe unasoma zilizotafsiriwa sikiliza mwenyewe useme ni wapi amesema hivyo ulivyoaandika
Wewe na Watu wa Mwananchi nani ana Akili timamu na Mkweli? Nasubiria jibu lako. Hivi kumbe ni Dhambi au Kosa hasa Kitaaluma kusoma au kuchukua kile Kilichotafsiriwa? Kuna Watu hapa JamiiForums hakika huwa mnanilazimisha Wenyewe niwe Nawadharau kwa Udhaifu wenu wa kutokuwa na Upeo / Akili.
 
  • Thanks
Reactions: UCD
"Niliwasikia wakiongea na Simu na Boss wao ndipo nami nikawauliza kumbe mna Boss wenu na wakaanza Kuogopa na kuhisi kuwa najua Mipango yao"amesema Mtekwaji wa Dharula nchini Kenya Maria Sarungi.

GENTAMYCINE sijawahi kuona Watekaji wanaomuogopa yule Waliyemteka halafu Wanawasiliana kwa Uwazi mambo yao ya Ndani ya Gari walilombeba Mateka wao / Waliomteka.

Anyways mwaka huu kwakuwa tunataka pia Kutumika Kisiasa ili Wafadhili wetu Watoboke mifuko yao na Maisha yetu yazidi kuwa mazuri huenda tukaona Vituko vingi na Script nyingi za Matukio kuandaliwa vibaya na mikakati Kubuma.

Hakuna Kitu GENTAMYCINE nachukia kama Uwongo na tena huo Uwongo ukifanywa na Mtu ninayemuamini kutokana na IQ yake kubwa kama Tate Mkuu, Bila bila, Leejay49, mrangi, ngara23, Extrovert na King Kong III
Nmekusoma mwanangu

Ova
 
View attachment 3200963

Hebu onyesha wapi amesema wakaanza kuogopa na kuhisi najua mipango yao
Mmmh okay…

Eye contact with intended audience =0.00
Communication capability = level 110%
Traces of recent shock=0.00
Traces of severe trauma =0.00
Traces of injury due to possible force/snatching =0.1 Subject appears to have a red mark on the upper corner of her left eye.
Physical condition =subject appears to be well oriented with crystal memory few hours after event.
Dorsal = looking good.
Palmar= looks clear no sign stress on them.
Overall insight = Subject commands wellness + total sanity at current, considering the subject’s recent events.
Physical + Material appearance =Subject is in her usual casual fits with a slight difference…. less makeup, hair roughly done and very few accessories. As her norm.

Final analysis = Subject has a LOT to say.
 
"Niliwasikia wakiongea na Simu na Boss wao ndipo nami nikawauliza kumbe mna Boss wenu na wakaanza Kuogopa na kuhisi kuwa najua Mipango yao"amesema Mtekwaji wa Dharula nchini Kenya Maria Sarungi.

GENTAMYCINE sijawahi kuona Watekaji wanaomuogopa yule Waliyemteka halafu Wanawasiliana kwa Uwazi mambo yao ya Ndani ya Gari walilombeba Mateka wao / Waliomteka.

Anyways mwaka huu kwakuwa tunataka pia Kutumika Kisiasa ili Wafadhili wetu Watoboke mifuko yao na Maisha yetu yazidi kuwa mazuri huenda tukaona Vituko vingi na Script nyingi za Matukio kuandaliwa vibaya na mikakati Kubuma.

Hakuna Kitu GENTAMYCINE nachukia kama Uwongo na tena huo Uwongo ukifanywa na Mtu ninayemuamini kutokana na IQ yake kubwa kama Tate Mkuu, Bila bila, Leejay49, mrangi, ngara23, Extrovert na King Kong III
Mweh! Leo nimesifiwa eti na GENTAMYCINE The King!! Dah! Sijui ni kwa sababu ya ule ushindi wetu wa jana wa kutumia calculator!!! 😇

All in all, haya mambo ya utekaji wakati fulani hayana tofauti na ule msemo usemao kwenye msafara wa mamba na kenge nao hawakosekani.

Kuna watu wanaweza kutumia hicho kigezo kwa manufaa yao. Mfano mdogo tu ni yule Bwana harusi Massawe aliyejita juzi kati huko jiji Darisalama. Ila kama vyombo vya dola vingekuwa havihusiki, mpaka muda huu wahuni wa hivyo vitendo, wangekuwa wamekamatwa.
 
"Niliwasikia wakiongea na Simu na Boss wao ndipo nami nikawauliza kumbe mna Boss wenu na wakaanza Kuogopa na kuhisi kuwa najua Mipango yao"amesema Mtekwaji wa Dharula nchini Kenya Maria Sarungi.

GENTAMYCINE sijawahi kuona Watekaji wanaomuogopa yule Waliyemteka halafu Wanawasiliana kwa Uwazi mambo yao ya Ndani ya Gari walilombeba Mateka wao / Waliomteka.

Anyways mwaka huu kwakuwa tunataka pia Kutumika Kisiasa ili Wafadhili wetu Watoboke mifuko yao na Maisha yetu yazidi kuwa mazuri huenda tukaona Vituko vingi na Script nyingi za Matukio kuandaliwa vibaya na mikakati Kubuma.

Hakuna Kitu GENTAMYCINE nachukia kama Uwongo na tena huo Uwongo ukifanywa na Mtu ninayemuamini kutokana na IQ yake kubwa kama Tate Mkuu, Bila bila, Leejay49, mrangi, ngara23, Extrovert na King Kong III
Kuna mambo mengine huwazidi kikomo cha ufahamu baadhi ya watu hivyo siyo lazima uelewe yote.
 
Mmmh okay…

Eye contact with intended audience =0.00
Communication capability = level 110%
Traces of recent shock=0.00
Traces of severe trauma =0.00
Traces of injury due to possible force/snatching =0.1 Subject appears to have a red mark on the upper corner of her left eye.
Physical condition =subject appears to be well oriented with crystal memory few hours after event.
Dorsal = looking good.
Palmar= looks clear no sign stress on them.
Overall insight = Subject commands wellness + total sanity at current, considering the subject’s recent events.
Physical + Material appearance =Subject is in her usual casual fits with a slight difference…. less makeup, hair roughly done and very few accessories. As her norm.

Final analysis = Subject has a LOT to say.
Allah Akbar mjahidina. Bomu wapi hilo...
 
Uko sahihi 100% na ndiyo maana baada ya Kuigundua kwa kuzipata za Ndani leo Asubuhi kwa Heshima nikamuomba asifanye Press yoyote kwani angeshtukiwa haraka na wenye Akili / tulio na Akili ila akapuuza na sasa anaanza taratibu kupoteza Credibility yake.
And you, are you one of the intelligent people? Truly, some people are exalted
 
GENTAMYCINE huwa napenda sana kukutana na Members very Intelligent hapa JamiiForums ukiwa ni miongoni mwao japo mpo Wachache sana.
Unajua chochote kuhusu Dunning-Kruger effect?
1. People with limited knowledge or ability in a certain area overestimate their competence. Essentially, they "don't know what they don't know," which can prevent them from recognizing their own limitations.
2. highly knowledgeable or skilled individuals may underestimate their competence because they are more aware of how much they don't know.
That means, a fool may not realize they are a fool due to a lack of self-awareness or understanding of their shortcomings.
 
Bado kuna maswali mengi ya kujiuliza

1. Hivi kweli Mashababi ambao ni specialists washindwe kumtesa ili atoe pin number. ?
Ikumbukwe kama lengo ilikuwa ni kumvusha, kumleta Tz Ina maana watekaji walikuwa well financed by the state
Sidhani kama state ingechukua makanjanja kama hawa

2. Ukiacha lengo la kumvusha, lengo lao jingine ilikuwa kupata simu na pin yake ili waweze ku tress mawasiliano yake. Hivi kweli Serikali ya Tz inashindwa kupata mawasiliano ya Maria mpaka waanze kutumia njia za kibandidu

3. Hivi watekaji wanapata hofu kivipi ikiwa mtekwaji ametambua ya kuwa watekaji wana boss wao ??
4. To sum up kulingana na maelezo ya Maria INAONEKANA kwa kiasi kikubwa state imeshindwa ku hire watekaji wenye weledi na kazi yao

Mchangiaji mwingine anaweza kuongezea
 
Back
Top Bottom