Kukubali Maria Sarungi alitekwa ni kukubali rasmi kuwa katika Kundi la Mangumbaru (Wajinga) na Mapopoma (Wapumbavu) asilia.
Kwani ulitaka akwambie dhalili zote aliofanyiwa ikiwamo kubakwa kama kulihusika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukubali Maria Sarungi alitekwa ni kukubali rasmi kuwa katika Kundi la Mangumbaru (Wajinga) na Mapopoma (Wapumbavu) asilia.
Bado kuna maswali mengi ya kujiuliza
1. Hivi kweli Mashababi ambao ni specialists washindwe kumtesa ili atoe pin number. ?
Ikumbukwe kama lengo ilikuwa ni kumvusha, kumleta Tz Ina maana watekaji walikuwa well financed by the state
Sidhani kama state ingechukua makanjanja kama hawa
2. Ukiacha lengo la kumvusha, lengo lao jingine ilikuwa kupata simu na pin yake ili waweze ku tress mawasiliano yake. Hivi kweli Serikali ya Tz inashindwa kupata mawasiliano ya Maria mpaka waanze kutumia njia za kibandidu
3. Hivi watekaji wanapata hofu kivipi ikiwa mtekwaji ametambua ya kuwa watekaji wana boss wao ??
4. To sum up kulingana na maelezo ya Maria INAONEKANA kwa kiasi kikubwa state imeshindwa ku hire watekaji wenye weledi na kazi yao
Mchangiaji mwingine anaweza kuongezea
Kafie mbele huko na Kiingereza chako cha Shule ya Msingi.Unajua chochote kuhusu Dunning-Kruger effect?
1. People with limited knowledge or ability in a certain area overestimate their competence. Essentially, they "don't know what they don't know," which can prevent them from recognizing their own limitations.
2. highly knowledgeable or skilled individuals may underestimate their competence because they are more aware of how much they don't know.
That means, a fool may not realize they are a fool due to a lack of self-awareness or understanding of their shortcomings.
Kukubali Maria Sarungi alitekwa ni kukubali rasmi kuwa katika Kundi la Mangumbaru (Wajinga) na Mapopoma (Wapumbavu) asilia.
Una majini boss?Allah Akbar mjahidina. Bomu wapi hilo...
Omba utafasiriwe Mkuu, usiwe king'ang'anizi kama Mbowe.Sijui Kiingereza, Kiingereza siyo Lugha yangu Kuu ya Kimawasiliano na Lugha pekee ambayo najivunia nayo na hata UN kupitia UNESCO wameitambua kwa kuiwekea tarehe yake Maalum kila tarehe 7 July ni ya Kiswahili.
Hivyo hata siumii au sishangai nikiambiwa kuwa sijui Kiingereza ambayo pia hata Mashoga (Wapiga Mluzi) wengi Wanaipenda na Kuishobokea Kutwa.
Nakuomba sasa Wewe Muingereza wa Tandale kwa Mama Paka unitafsirie tafadhali hicho Kiingereza cha huyo Dada alichokizungumza baada ya Tukio la 'Kujiteka ili Wazungu Wafadhili Wanilipe Fedha nyingi na Nipate Umaarufu' ili Maisha yaendelee.
😄Charismatic fala
Kale kadada ka Marekani kanasema Maria kaliwa mtungo.Wewe binafsi ulishawai kutekwa mpaka useme kua haujawai kuona watekaji wakimuogopa mtu aliyetekwa?
Mimi ningemuelewa angesema kuna mwanaume alimlaghai akatoka naye akamuwekea madawa ya kulevya akaliwa mtungo hili linaweza kuniingia akilini.Huyu dada hakutekwa, aibu tu kwa tuliokuwa tunamuamini,kafanya jambo la kitoto sana.
Saa 3 usiku jana kahojiwa na BBC kwa kiswahili tu na alivyoandika mleta mada ndivyo hivyo alivyosema hata mwenyewe. Nyumbu msikimbilie kujificha kwenye kiingereza, kwanza kwa kiingereza gani?!!!! Cha Liverpool?!!!! Ukweli ni kuwa haters wa Samia na serikali mmeumbuliwa na huyu actor wenu, kacheza vibaya na movie imekosa mvuto kabisaaaa! Ni mburura pekee wanaoweza kubaki na huu ujinga vichwani mwaoKingereza ni changamoto sana
Hakusema hivyo omba mtu akutafusirie
Mimi siyo haters..ila umeshakariri mtu akisema sio hivyo unaona ni haters hiyo ni akili ndogo sana.Saa 3 usiku jana kahojiwa na BBC kwa kiswahili tu na alivyoandika mleta mada ndivyo hivyo alivyosema hata mwenyewe. Nyumbu msikimbilie kujificha kwenye kiingereza, kwanza kwa kiingereza gani?!!!! Cha Liverpool?!!!! Ukweli ni kuwa haters wa Samia na serikali mmeumbuliwa na huyu actor wenu, kacheza vibaya na movie imekosa mvuto kabisaaaa! Ni mburura pekee wanaoweza kubaki na huu ujinga vichwani mwao
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kumbe sio mimi tu , nimemsikiliza hata sijamuelewa.
Mtekwaji anakuwa na guts za kubishana na watekaji mpaka wanamuachia wenyewe.
Mkuu, uliangalia mahojiano yake na BBC?!!!!!Mimi siyo haters..ila umeshakariri mtu akisema sio hivyo unaona ni haters hiyo ni akili ndogo sana.
Kasikilize hiyo original clip useme ni wapi watekaji walitetemeka