Dada Maria Sarungi sijakuelewa zaidi hapa nakuomba unifafanulie kwa kina tafadhali ili wenye 'IQ' kubwa tukuelewe

Dada Maria Sarungi sijakuelewa zaidi hapa nakuomba unifafanulie kwa kina tafadhali ili wenye 'IQ' kubwa tukuelewe

Kama hujawahi kutekwa , huwezi kuona uzoefu kama huo.
Mtekwaji mwenye akili kubwa akitekwa lazima awe na mbinu za kivita either kuchelewesha kuuliwa,kuwalaghai watekaji, ikiwezekana kupata upenyo wa kuwatisha watekaji hata kama wanamzidi nguvu.
Jitu linaweza kuwa na mwili
mkubwa wenye nguvu lakini halina akili, likitishwa kiakili linaogopa.
You can’t be serious

Maria kapakua chakula kabla hakijaiva, na sasa anatafuta cover up
 
"Niliwasikia wakiongea na Simu na Boss wao ndipo nami nikawauliza kumbe mna Boss wenu na wakaanza Kuogopa na kuhisi kuwa najua Mipango yao"amesema Mtekwaji wa Dharula nchini Kenya Maria Sarungi.

GENTAMYCINE sijawahi kuona Watekaji wanaomuogopa yule Waliyemteka halafu Wanawasiliana kwa Uwazi mambo yao ya Ndani ya Gari walilombeba Mateka wao / Waliomteka.

Anyways mwaka huu kwakuwa tunataka pia Kutumika Kisiasa ili Wafadhili wetu Watoboke mifuko yao na Maisha yetu yazidi kuwa mazuri huenda tukaona Vituko vingi na Script nyingi za Matukio kuandaliwa vibaya na mikakati Kubuma.

Hakuna Kitu GENTAMYCINE nachukia kama Uwongo na tena huo Uwongo ukifanywa na Mtu ninayemuamini kutokana na IQ yake kubwa kama Tate Mkuu, Bila bila, Leejay49, mrangi, ngara23, Extrovert na King Kong III
Buyo mama ni muongo wa waziwazi na kinachomsumbua ni njaa
 
Mkuu, uliangalia mahojiano yake na BBC?!!!!!
Alichosema aliwauliza tunasubiria nini? Wakasema Bosi
Akawaliza bosi wenu nani.Watekaji WAKAPATA HASIRA SABABU ANATAKA KUJUA MIPANGO YAO..

HAKUNA MAHALI WATEKAJI WAMEONYESHA KUMUOGOPA kama UZI UNAVYOSEMA

Kuna tofauti kubwa sana kati ya neno OGOPA na neno HASIRA
 
Haya mambo mpaka yakukute ndio utaelewa kuwa huelewi. Mara nyingi kama hujawahi kuwa muhanga au mtu wa karibu na muhanga wa jambo fulani sio rahisi kuujua undani wa jambo husika na huwa tunapuuza mpaka siku linapotufika.
... maneno meengi lakini jibu ni moja tu: "LA KUVUNDA HALINA UBANI!" ... HII KITU IMEBUMA AISEE, YAAN HATA MTOTO ANAJUA NI TAMITHILIA! HALAFU, PAMOJA NA KELELE ZOTE, MI HATA HUWA SILIONI TISHIO LA MARIA SARUNGI ANAYEPIGA STATE YA BONGO NA TEDDY BEARS!
😅
 
"Niliwasikia wakiongea na Simu na Boss wao ndipo nami nikawauliza kumbe mna Boss wenu na wakaanza Kuogopa na kuhisi kuwa najua Mipango yao"amesema Mtekwaji wa Dharula nchini Kenya Maria Sarungi.

GENTAMYCINE sijawahi kuona Watekaji wanaomuogopa yule Waliyemteka halafu Wanawasiliana kwa Uwazi mambo yao ya Ndani ya Gari walilombeba Mateka wao / Waliomteka.

Anyways mwaka huu kwakuwa tunataka pia Kutumika Kisiasa ili Wafadhili wetu Watoboke mifuko yao na Maisha yetu yazidi kuwa mazuri huenda tukaona Vituko vingi na Script nyingi za Matukio kuandaliwa vibaya na mikakati Kubuma.

Hakuna Kitu GENTAMYCINE nachukia kama Uwongo na tena huo Uwongo ukifanywa na Mtu ninayemuamini kutokana na IQ yake kubwa kama Tate Mkuu, Bila bila, Leejay49, mrangi, ngara23, Extrovert na King Kong III
Utajipa ugonjwa wa moyo tu, we inatakiwa kwenye nafsi yako uhamini tu kuwa hajatekwa inatosha, hapo utakuwa na amani ya nafsi mkuu.
 
Kumbe sio mimi tu , nimemsikiliza hata sijamuelewa.

Mtekwaji anakuwa na guts za kubishana na watekaji mpaka wanamuachia wenyewe.
Unahoji guts za mtu anayeendesha mijadala spaces na harakati za demokrasia toka kipindi cha jiwe bila kificho ukiwa na fake ID.

Wengine nasoma wanatumia idea zao za utekwaji walizoona kwenye movie kulinganisha na maelezo ya Maria.

Utoto na uzwazwa
 
Kama hujawahi kutekwa , huwezi kuona uzoefu kama huo.
Mtekwaji mwenye akili kubwa akitekwa lazima awe na mbinu za kivita either kuchelewesha kuuliwa,kuwalaghai watekaji, ikiwezekana kupata upenyo wa kuwatisha watekaji hata kama wanamzidi nguvu.
Jitu linaweza kuwa na mwili
mkubwa wenye nguvu lakini halina akili, likitishwa kiakili linaogopa.
Nawewe unaamini kua watekaji waliogopa baada ya Maria kusema hivo😂😂
 
... maneno meengi lakini jibu ni moja tu: "LA KUVUNDA HALINA UBANI!" ... HII KITU IMEBUMA AISEE, YAAN HATA MTOTO ANAJUA NI TAMITHILIA! HALAFU, PAMOJA NA KELELE ZOTE, MI HATA HUWA SILIONI TISHIO LA MARIA SARUNGI ANAYEPIGA STATE YA BONGO NA TEDDY BEARS!
😅
Tena imebuma vibaya, atawaharibia hata wenzake wanatakaotekwa kiukweli huko mbele.....haijulikani Sasa nani mkweli nani si mkweli
 
Alichosema aliwauliza tunasubiria nini? Wakasema Bosi
Akawaliza bosi wenu nani.Watekaji WAKAPATA HASIRA SABABU ANATAKA KUJUA MIPANGO YAO..

HAKUNA MAHALI WATEKAJI WAMEONYESHA KUMUOGOPA kama UZI UNAVYOSEMA

Kuna tofauti kubwa sana kati ya neno OGOPA na neno HASIRA
Endelea mpaka mwisho, "baadae wakaniachia wakasema "nenda usiangalie nyuma Wala kusema lolote......"

Naona kamanda umetulia kwa huzuni kuubwa sana baada ya Hy maelezo.
 
Imagination, watekaji ni madogo fulani nao wana bosi wao,

All in all kama ni kitendo cha ukweli, siyo nzuri
 
"Niliwasikia wakiongea na Simu na Boss wao ndipo nami nikawauliza kumbe mna Boss wenu na wakaanza Kuogopa na kuhisi kuwa najua Mipango yao"amesema Mtekwaji wa Dharula nchini Kenya Maria Sarungi.

GENTAMYCINE sijawahi kuona Watekaji wanaomuogopa yule Waliyemteka halafu Wanawasiliana kwa Uwazi mambo yao ya Ndani ya Gari walilombeba Mateka wao / Waliomteka.

Anyways mwaka huu kwakuwa tunataka pia Kutumika Kisiasa ili Wafadhili wetu Watoboke mifuko yao na Maisha yetu yazidi kuwa mazuri huenda tukaona Vituko vingi na Script nyingi za Matukio kuandaliwa vibaya na mikakati Kubuma.

Hakuna Kitu GENTAMYCINE nachukia kama Uwongo na tena huo Uwongo ukifanywa na Mtu ninayemuamini kutokana na IQ yake kubwa kama Tate Mkuu, Bila bila, Leejay49, mrangi, ngara23, Extrovert na King Kong III
Yaaani ni sinema zaidi ya Futuhi...
 
Kama hujawahi kutekwa , huwezi kuona uzoefu kama huo.
Mtekwaji mwenye akili kubwa akitekwa lazima awe na mbinu za kivita either kuchelewesha kuuliwa,kuwalaghai watekaji, ikiwezekana kupata upenyo wa kuwatisha watekaji hata kama wanamzidi nguvu.
Jitu linaweza kuwa na mwili
mkubwa wenye nguvu lakini halina akili, likitishwa kiakili linaogopa.
Kwa hiyo Maria ni solder ..yaani ana mbinu za kivita ... 🤣🤣
 
"Niliwasikia wakiongea na Simu na Boss wao ndipo nami nikawauliza kumbe mna Boss wenu na wakaanza Kuogopa na kuhisi kuwa najua Mipango yao"amesema Mtekwaji wa Dharula nchini Kenya Maria Sarungi.

GENTAMYCINE sijawahi kuona Watekaji wanaomuogopa yule Waliyemteka halafu Wanawasiliana kwa Uwazi mambo yao ya Ndani ya Gari walilombeba Mateka wao / Waliomteka.

Anyways mwaka huu kwakuwa tunataka pia Kutumika Kisiasa ili Wafadhili wetu Watoboke mifuko yao na Maisha yetu yazidi kuwa mazuri huenda tukaona Vituko vingi na Script nyingi za Matukio kuandaliwa vibaya na mikakati Kubuma.

Hakuna Kitu GENTAMYCINE nachukia kama Uwongo na tena huo Uwongo ukifanywa na Mtu ninayemuamini kutokana na IQ yake kubwa kama Tate Mkuu, Bila bila, Leejay49, mrangi, ngara23, Extrovert na King Kong III
Mimi ni miongoni mwa wale ambao tumeshindwa kuunganisha dot kutokana na Press ya dada Maria. Mwisho anadai alifika mahali akakuta magari mawili yamepaki akaingia ( Ukakasi) Kuna mahali tena alifika akaita tax akauliza bei akaambiwa elfu moja akatoa na akapelekwa nyumbani.
 
"Niliwasikia wakiongea na Simu na Boss wao ndipo nami nikawauliza kumbe mna Boss wenu na wakaanza Kuogopa na kuhisi kuwa najua Mipango yao"amesema Mtekwaji wa Dharula nchini Kenya Maria Sarungi.

GENTAMYCINE sijawahi kuona Watekaji wanaomuogopa yule Waliyemteka halafu Wanawasiliana kwa Uwazi mambo yao ya Ndani ya Gari walilombeba Mateka wao / Waliomteka.

Anyways mwaka huu kwakuwa tunataka pia Kutumika Kisiasa ili Wafadhili wetu Watoboke mifuko yao na Maisha yetu yazidi kuwa mazuri huenda tukaona Vituko vingi na Script nyingi za Matukio kuandaliwa vibaya na mikakati Kubuma.

Hakuna Kitu GENTAMYCINE nachukia kama Uwongo na tena huo Uwongo ukifanywa na Mtu ninayemuamini kutokana na IQ yake kubwa kama Tate Mkuu, Bila bila, Leejay49, mrangi, ngara23, Extrovert na King Kong III
Ni maigizo; ubarikiwe sana kwa kuliona hilo
 
Mimi ni miongoni mwa wale ambao tumeshindwa kuunganisha dot kutokana na Press ya dada Maria. Mwisho anadai alifika mahali akakuta magari mawili yamepaki akaingia ( Ukakasi) Kuna mahali tena alifika akaita tax akauliza bei akaambiwa elfu moja akatoa na akapelekwa nyumbani.
Very childish 😂😂
 
Back
Top Bottom