Dada Maria Sarungi sijakuelewa zaidi hapa nakuomba unifafanulie kwa kina tafadhali ili wenye 'IQ' kubwa tukuelewe

Dada Maria Sarungi sijakuelewa zaidi hapa nakuomba unifafanulie kwa kina tafadhali ili wenye 'IQ' kubwa tukuelewe

"Niliwasikia wakiongea na Simu na Boss wao ndipo nami nikawauliza kumbe mna Boss wenu na wakaanza Kuogopa na kuhisi kuwa najua Mipango yao"amesema Mtekwaji wa Dharula nchini Kenya Maria Sarungi.

GENTAMYCINE sijawahi kuona Watekaji wanaomuogopa yule Waliyemteka halafu Wanawasiliana kwa Uwazi mambo yao ya Ndani ya Gari walilombeba Mateka wao / Waliomteka.

Anyways mwaka huu kwakuwa tunataka pia Kutumika Kisiasa ili Wafadhili wetu Watoboke mifuko yao na Maisha yetu yazidi kuwa mazuri huenda tukaona Vituko vingi na Script nyingi za Matukio kuandaliwa vibaya na mikakati Kubuma.

Hakuna Kitu GENTAMYCINE nachukia kama Uwongo na tena huo Uwongo ukifanywa na Mtu ninayemuamini kutokana na IQ yake kubwa kama Tate Mkuu, Bila bila, Leejay49, mrangi, ngara23, Extrovert na King Kong III
kwahiyo wewe ulitaka baada ya kutekwa tu aanze kuharisha? kitendo cha kukimbia nchini maria salungi ilikuwa ni swala hilo la kutekwa na kwahiyo muda wowote alijua anasakwa kwahiyo halikuwa jambo geni kwake pili maria kambia tangu 2020 jiwe lipo iweje kiki azifanye 2025
 
Kama hujawahi kutekwa , huwezi kuona uzoefu kama huo.
Mtekwaji mwenye akili kubwa akitekwa lazima awe na mbinu za kivita either kuchelewesha kuuliwa,kuwalaghai watekaji, ikiwezekana kupata upenyo wa kuwatisha watekaji hata kama wanamzidi nguvu.
Jitu linaweza kuwa na mwili
mkubwa wenye nguvu lakini halina akili, likitishwa kiakili linaogopa.
NDIYO AWAPIGE MATEKE WAMUACHIE? YAANI UKIMUAMINI HUYU MDADA UJUE UNAMATATIZO YA AFYA YA AKILI UENDE MILEMBE MWENYEWE USISUBIRI UFUNGWE KAMBA
 
kwahiyo wewe ulitaka baada ya kutekwa tu aanze kuharisha? kitendo cha kukimbia nchini maria salungi ilikuwa ni swala hilo la kutekwa na kwahiyo muda wowote alijua anasakwa kwahiyo halikuwa jambo geni kwake pili maria kambia tangu 2020 jiwe lipo iweje kiki azifanye 2025
Hapa tunamjadili Maria Sarungi na siyo huyu Maria Salungi wako. Hopeless....!!
 
Back
Top Bottom