You can’t be seriousKama hujawahi kutekwa , huwezi kuona uzoefu kama huo.
Mtekwaji mwenye akili kubwa akitekwa lazima awe na mbinu za kivita either kuchelewesha kuuliwa,kuwalaghai watekaji, ikiwezekana kupata upenyo wa kuwatisha watekaji hata kama wanamzidi nguvu.
Jitu linaweza kuwa na mwili
mkubwa wenye nguvu lakini halina akili, likitishwa kiakili linaogopa.
Dada amechemuka sanaKumbe sio mimi tu , nimemsikiliza hata sijamuelewa.
Mtekwaji anakuwa na guts za kubishana na watekaji mpaka wanamuachia wenyewe.
Buyo mama ni muongo wa waziwazi na kinachomsumbua ni njaa"Niliwasikia wakiongea na Simu na Boss wao ndipo nami nikawauliza kumbe mna Boss wenu na wakaanza Kuogopa na kuhisi kuwa najua Mipango yao"amesema Mtekwaji wa Dharula nchini Kenya Maria Sarungi.
GENTAMYCINE sijawahi kuona Watekaji wanaomuogopa yule Waliyemteka halafu Wanawasiliana kwa Uwazi mambo yao ya Ndani ya Gari walilombeba Mateka wao / Waliomteka.
Anyways mwaka huu kwakuwa tunataka pia Kutumika Kisiasa ili Wafadhili wetu Watoboke mifuko yao na Maisha yetu yazidi kuwa mazuri huenda tukaona Vituko vingi na Script nyingi za Matukio kuandaliwa vibaya na mikakati Kubuma.
Hakuna Kitu GENTAMYCINE nachukia kama Uwongo na tena huo Uwongo ukifanywa na Mtu ninayemuamini kutokana na IQ yake kubwa kama Tate Mkuu, Bila bila, Leejay49, mrangi, ngara23, Extrovert na King Kong III
Alichosema aliwauliza tunasubiria nini? Wakasema BosiMkuu, uliangalia mahojiano yake na BBC?!!!!!
... maneno meengi lakini jibu ni moja tu: "LA KUVUNDA HALINA UBANI!" ... HII KITU IMEBUMA AISEE, YAAN HATA MTOTO ANAJUA NI TAMITHILIA! HALAFU, PAMOJA NA KELELE ZOTE, MI HATA HUWA SILIONI TISHIO LA MARIA SARUNGI ANAYEPIGA STATE YA BONGO NA TEDDY BEARS!Haya mambo mpaka yakukute ndio utaelewa kuwa huelewi. Mara nyingi kama hujawahi kuwa muhanga au mtu wa karibu na muhanga wa jambo fulani sio rahisi kuujua undani wa jambo husika na huwa tunapuuza mpaka siku linapotufika.
Utajipa ugonjwa wa moyo tu, we inatakiwa kwenye nafsi yako uhamini tu kuwa hajatekwa inatosha, hapo utakuwa na amani ya nafsi mkuu."Niliwasikia wakiongea na Simu na Boss wao ndipo nami nikawauliza kumbe mna Boss wenu na wakaanza Kuogopa na kuhisi kuwa najua Mipango yao"amesema Mtekwaji wa Dharula nchini Kenya Maria Sarungi.
GENTAMYCINE sijawahi kuona Watekaji wanaomuogopa yule Waliyemteka halafu Wanawasiliana kwa Uwazi mambo yao ya Ndani ya Gari walilombeba Mateka wao / Waliomteka.
Anyways mwaka huu kwakuwa tunataka pia Kutumika Kisiasa ili Wafadhili wetu Watoboke mifuko yao na Maisha yetu yazidi kuwa mazuri huenda tukaona Vituko vingi na Script nyingi za Matukio kuandaliwa vibaya na mikakati Kubuma.
Hakuna Kitu GENTAMYCINE nachukia kama Uwongo na tena huo Uwongo ukifanywa na Mtu ninayemuamini kutokana na IQ yake kubwa kama Tate Mkuu, Bila bila, Leejay49, mrangi, ngara23, Extrovert na King Kong III
Unahoji guts za mtu anayeendesha mijadala spaces na harakati za demokrasia toka kipindi cha jiwe bila kificho ukiwa na fake ID.Kumbe sio mimi tu , nimemsikiliza hata sijamuelewa.
Mtekwaji anakuwa na guts za kubishana na watekaji mpaka wanamuachia wenyewe.
Nawewe unaamini kua watekaji waliogopa baada ya Maria kusema hivo😂😂Kama hujawahi kutekwa , huwezi kuona uzoefu kama huo.
Mtekwaji mwenye akili kubwa akitekwa lazima awe na mbinu za kivita either kuchelewesha kuuliwa,kuwalaghai watekaji, ikiwezekana kupata upenyo wa kuwatisha watekaji hata kama wanamzidi nguvu.
Jitu linaweza kuwa na mwili
mkubwa wenye nguvu lakini halina akili, likitishwa kiakili linaogopa.
Tena imebuma vibaya, atawaharibia hata wenzake wanatakaotekwa kiukweli huko mbele.....haijulikani Sasa nani mkweli nani si mkweli... maneno meengi lakini jibu ni moja tu: "LA KUVUNDA HALINA UBANI!" ... HII KITU IMEBUMA AISEE, YAAN HATA MTOTO ANAJUA NI TAMITHILIA! HALAFU, PAMOJA NA KELELE ZOTE, MI HATA HUWA SILIONI TISHIO LA MARIA SARUNGI ANAYEPIGA STATE YA BONGO NA TEDDY BEARS!
😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nawewe unaamini kua watekaji waliogopa baada ya Maria kusema hivo😂😂
Endelea mpaka mwisho, "baadae wakaniachia wakasema "nenda usiangalie nyuma Wala kusema lolote......"Alichosema aliwauliza tunasubiria nini? Wakasema Bosi
Akawaliza bosi wenu nani.Watekaji WAKAPATA HASIRA SABABU ANATAKA KUJUA MIPANGO YAO..
HAKUNA MAHALI WATEKAJI WAMEONYESHA KUMUOGOPA kama UZI UNAVYOSEMA
Kuna tofauti kubwa sana kati ya neno OGOPA na neno HASIRA
Yaaani ni sinema zaidi ya Futuhi..."Niliwasikia wakiongea na Simu na Boss wao ndipo nami nikawauliza kumbe mna Boss wenu na wakaanza Kuogopa na kuhisi kuwa najua Mipango yao"amesema Mtekwaji wa Dharula nchini Kenya Maria Sarungi.
GENTAMYCINE sijawahi kuona Watekaji wanaomuogopa yule Waliyemteka halafu Wanawasiliana kwa Uwazi mambo yao ya Ndani ya Gari walilombeba Mateka wao / Waliomteka.
Anyways mwaka huu kwakuwa tunataka pia Kutumika Kisiasa ili Wafadhili wetu Watoboke mifuko yao na Maisha yetu yazidi kuwa mazuri huenda tukaona Vituko vingi na Script nyingi za Matukio kuandaliwa vibaya na mikakati Kubuma.
Hakuna Kitu GENTAMYCINE nachukia kama Uwongo na tena huo Uwongo ukifanywa na Mtu ninayemuamini kutokana na IQ yake kubwa kama Tate Mkuu, Bila bila, Leejay49, mrangi, ngara23, Extrovert na King Kong III
Kwa hiyo Maria ni solder ..yaani ana mbinu za kivita ... 🤣🤣Kama hujawahi kutekwa , huwezi kuona uzoefu kama huo.
Mtekwaji mwenye akili kubwa akitekwa lazima awe na mbinu za kivita either kuchelewesha kuuliwa,kuwalaghai watekaji, ikiwezekana kupata upenyo wa kuwatisha watekaji hata kama wanamzidi nguvu.
Jitu linaweza kuwa na mwili
mkubwa wenye nguvu lakini halina akili, likitishwa kiakili linaogopa.
Mimi ni miongoni mwa wale ambao tumeshindwa kuunganisha dot kutokana na Press ya dada Maria. Mwisho anadai alifika mahali akakuta magari mawili yamepaki akaingia ( Ukakasi) Kuna mahali tena alifika akaita tax akauliza bei akaambiwa elfu moja akatoa na akapelekwa nyumbani."Niliwasikia wakiongea na Simu na Boss wao ndipo nami nikawauliza kumbe mna Boss wenu na wakaanza Kuogopa na kuhisi kuwa najua Mipango yao"amesema Mtekwaji wa Dharula nchini Kenya Maria Sarungi.
GENTAMYCINE sijawahi kuona Watekaji wanaomuogopa yule Waliyemteka halafu Wanawasiliana kwa Uwazi mambo yao ya Ndani ya Gari walilombeba Mateka wao / Waliomteka.
Anyways mwaka huu kwakuwa tunataka pia Kutumika Kisiasa ili Wafadhili wetu Watoboke mifuko yao na Maisha yetu yazidi kuwa mazuri huenda tukaona Vituko vingi na Script nyingi za Matukio kuandaliwa vibaya na mikakati Kubuma.
Hakuna Kitu GENTAMYCINE nachukia kama Uwongo na tena huo Uwongo ukifanywa na Mtu ninayemuamini kutokana na IQ yake kubwa kama Tate Mkuu, Bila bila, Leejay49, mrangi, ngara23, Extrovert na King Kong III
Ni maigizo; ubarikiwe sana kwa kuliona hilo"Niliwasikia wakiongea na Simu na Boss wao ndipo nami nikawauliza kumbe mna Boss wenu na wakaanza Kuogopa na kuhisi kuwa najua Mipango yao"amesema Mtekwaji wa Dharula nchini Kenya Maria Sarungi.
GENTAMYCINE sijawahi kuona Watekaji wanaomuogopa yule Waliyemteka halafu Wanawasiliana kwa Uwazi mambo yao ya Ndani ya Gari walilombeba Mateka wao / Waliomteka.
Anyways mwaka huu kwakuwa tunataka pia Kutumika Kisiasa ili Wafadhili wetu Watoboke mifuko yao na Maisha yetu yazidi kuwa mazuri huenda tukaona Vituko vingi na Script nyingi za Matukio kuandaliwa vibaya na mikakati Kubuma.
Hakuna Kitu GENTAMYCINE nachukia kama Uwongo na tena huo Uwongo ukifanywa na Mtu ninayemuamini kutokana na IQ yake kubwa kama Tate Mkuu, Bila bila, Leejay49, mrangi, ngara23, Extrovert na King Kong III
Genius kama Mimi kuvishtukia Vitu vya Kipumbavu kama hiki alichokifanya huyu Dada ni Suala la dakika chache mno.Ni maigizo; ubarikiwe sana kwa kuliona hilo
Pimbi kabisa..hajielewi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kumbe yule mama mweupe aisee kichwani, yaani utungaji wake ndo umeishia pale?!!!!!
Very childish 😂😂Mimi ni miongoni mwa wale ambao tumeshindwa kuunganisha dot kutokana na Press ya dada Maria. Mwisho anadai alifika mahali akakuta magari mawili yamepaki akaingia ( Ukakasi) Kuna mahali tena alifika akaita tax akauliza bei akaambiwa elfu moja akatoa na akapelekwa nyumbani.