Empedocles
Senior Member
- Sep 11, 2024
- 151
- 192
Kumfukuza nyumbani kwa kubadili wito mtakuwa mmemuhukumu adhabu kubwa kulinganisha na kosa.Bila shaka kaumri kanasogea mbele na hivyo kwa ushauri mwacheni kumwandama kama yeye ni wa kwanza kufanya uamuzi wa namna hiyo.Naamini hakuja kizembe amekuja na mipango yake,subirini yatokanayo tu.Mleta mada mshauri mzee muwe wapole kwani hakuna mnachoweza kufanya,muda utasema