Dada yangu amerudi nyumbani amesema wito wa usister wa Kanisa Katoliki umemshinda na anataka kuolewa

Kumfukuza nyumbani kwa kubadili wito mtakuwa mmemuhukumu adhabu kubwa kulinganisha na kosa.Bila shaka kaumri kanasogea mbele na hivyo kwa ushauri mwacheni kumwandama kama yeye ni wa kwanza kufanya uamuzi wa namna hiyo.Naamini hakuja kizembe amekuja na mipango yake,subirini yatokanayo tu.Mleta mada mshauri mzee muwe wapole kwani hakuna mnachoweza kufanya,muda utasema
 
Kama hutonaki nipatie mawasiliano yake pm,
 
Nipe mawasiliano ya dada yako ili nimtangazie ndoa faster. Yaani miaka yote hii nilikuwa namsubiria yeye tu.
 
mbona wapo masista wengi tu waliovua vilemba na sasa ni wake na mama wazuri kbs WA familia...
mpeni support ili afanye uchaguzi sahihi maana Kuna styupido boys watampitia kumchakaza baiolojia kabla hajaland a real man.

babaenu naye aache uzombi wa kufukuza atakuja aibika ...
 
Miaka ya nyuma masista walikuwa wanasoma shule za serikali, sasa mmoja tulikuwa tunamuonyesha picha za ngono za wazungu miaka miwili baada kumalizia sekondari nilimkuta kaolewa na watoto wawili.
 
Alichagua mwenyewe awe mtawa na kachagua mwenyewe aolewe. Sasa mbona mnalazimisha.

Mwacheni afanye anachotaka. Ameona hakulipi huko. Mnajali furaha yenu hamtaki yake, sasa lazimisheni s8ku aje akiwa mtawa na mimba juu. Kaamua kuwatunzia heshima mnasema anawaaibisha
 
Kashaonja utamu wa de liboloz🤣🤣🤣🤣🤣
Mzee asimfukuze akae naye chini amwambie sasa umekuja njia sahihi
 
Nipe namba zake mkuu huko PM kwangu. Genyez zimemshinda kawa mkweli huyu niwahishie hiiyo pini mkuu
 
Kashaonja utamu wa de liboloz[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mzee asimfukuze akae naye chini amwambie sasa umekuja njia sahihi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…