Dada yangu anapitia mateso makali sana sababu ya kijana wake kushika Dini hadi imemfanya amekuwa mjinga

Mweee! Wewe bibi umerogwa nini? Yaani yale makoti wanayovaa madaktari ni sawa na kanzu? You cant be serious grany!
 
Write your reply...asee huyo jomba niwakumripot haraka wazee wakazi wamshughulikie kabla hajaletea watu majanga..haya ndo magaidi yabadae chinja Chinja ..ngoja apate connection uone
 
Write your reply...asee huyo jomba niwakumripot haraka wazee wakazi wamshughulikie kabla hajaletea watu majanga..haya ndo magaidi yabadae chinja Chinja ..ngoja apate connection uone
Umejazwa ujinga umekujaa, soma between the lines, mjonba anatafuta upenyo wa kukwepa kutowa million tano alizotaka dadake.

Atowe tu million tano ampe dadake, aache huyo kijana msomi aishi maisha ayapendayo.
 
Achana na kichwa changu jibu hoja zangu.

Ukiona mttu anaavha hoja na kuanza kumtusi mleta hoja ujuwe kuwa hoja imemuingia kisawasawa.
mpeleke mwanao pale muhimbili aanze kazi akivaa kanzu kobazi na kibarakashia alafu uone ndani ya week kama atatoboa

wewe unasema kuwa madokta wanavaa nusukanzu hebu nitumie picha ya dokta wa muhimbili hapa au hopitali yoyote hapa bongo aliyevaa kobazi kibarakashia na kanzu kazini kama sio umechanganyikiwa wewe
 
Kama nawajua hao jamaa sio Udsm mwaka 2021?
 
Kula na kushiba nyumbani kwenu halafu uchafu wako uende kuutupa kwa jirani ??!!-- au siyo!![emoji57]
Waislamu akili zenu ndogo kama wewe.

Hapo pugu sec kuna mwanafunzi alienda shule na choo
 
Madingi huwa tunaisoma ramani mapema na kuamua kuheshimu msimamo wa mtu kwa kukaa kimya na kumuacha afanye kille kimfaacho. Maana kama vile mdingi asivyopenda kupangiwa na yeye baada ya juongea mara mbil8 tatu huamua kumuacha dogo aishi maisha yake.

Wamaza huwa wanang'abg'ana na kulazimisha watakayo huku lawama zikienda kwa mdungi kama sgetani mkuu.
Ikitokea tu dogo maza akafanikiwa kumbadili dogo halafu digo akatusua basi hapo mdingi ndiyo ahesabu kuama chake kikuanza akuwa hai.
 
Mi Mitume na manabii watamrisha wata mvesha, dini Kila mtu anaifuata lakini isikufanye uwe mrevi wa dini. Kwasababu dini zote znasisitza waumini wafanye kazi.
 
Halafu huyo dada yake ashukuru mungu Bado ana kazi.mimi Kuna familia jirani walikuwa na watoto wawili wa kike na kiume.Baba alikuwa mfanyabiashara na mama mwalimu.mtoto wa kiume alisomea mambo ya uchumi baadae akaishia kwenye ushoga.wa kike alisomea Sheria lakini Hana kazi saivi ni tena.baba alifungwa Kwa kosa la uhujumu uchumi.kwa hivyo watu Wana shida kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…