FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Kasome nilichokijibu.kha! Sasa huu ni ushauri gani wewe bibi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasome nilichokijibu.kha! Sasa huu ni ushauri gani wewe bibi?
Achana na kichwa changu jibu hoja zangu.we sina shida na ww kichwa kina funza hiko mda tu
Umejibu ushuzy tu; nimeishausoma. Kwanini mnapenda kufanya mambo ya ovyo kwa kisingizio cha dini?Kasome nilichokijibu.
Mweee! Wewe bibi umerogwa nini? Yaani yale makoti wanayovaa madaktari ni sawa na kanzu? You cant be serious grany!Mimi naona unaohangaika zaidi ni wewe.
Kwanza kuhusu mavazi ya udaktari, juu hapo uliooanzia sijakuelewa, mbona mavazi rasmi ya kidaktari ni nusu kanzu? Cha ajabu nini yeye akivaa kanzu kwenda kazini?
Hapo naona wewe ndiyo upo braiwashed kufikiria kuwa kanzu siyo vazi la madaktari.
Hivi vazi rasmi ka kidaktari ni lipi? Tuanzie hapo.
Mweee! Wewe bibi umerogwa nini? Yaani yale makoti wanayovaa madaktari ni sawa na kanzu? You cant be serious grany!
Umejazwa ujinga umekujaa, soma between the lines, mjonba anatafuta upenyo wa kukwepa kutowa million tano alizotaka dadake.Write your reply...asee huyo jomba niwakumripot haraka wazee wakazi wamshughulikie kabla hajaletea watu majanga..haya ndo magaidi yabadae chinja Chinja ..ngoja apate connection uone
mpeleke mwanao pale muhimbili aanze kazi akivaa kanzu kobazi na kibarakashia alafu uone ndani ya week kama atatoboaAchana na kichwa changu jibu hoja zangu.
Ukiona mttu anaavha hoja na kuanza kumtusi mleta hoja ujuwe kuwa hoja imemuingia kisawasawa.
Dogo kamzingua mama yake sanaWrite your reply...asee huyo jomba niwakumripot haraka wazee wakazi wamshughulikie kabla hajaletea watu majanga..haya ndo magaidi yabadae chinja Chinja ..ngoja apate connection uone
Mombo au Bombo? Kuna kimoja Bombo.Labda anazungumzia Chuo Cha mombo
Kama nawajua hao jamaa sio Udsm mwaka 2021?Mimi niliona chuo. Nilishangaa kwa watu level za chuo kikuu kuwa vile. Walikuwa 7, walijitenga wakawa hawana muda na mtu mwingine wala kushirikiana. Tena ukiwa mkristo usikae kabisa karibu nao, muda mwingi wamekunja ndita
Nilichowakubali wote baada ya kumaliza tu chuo walioa
Waislamu akili zenu ndogo kama wewe.Kula na kushiba nyumbani kwenu halafu uchafu wako uende kuutupa kwa jirani ??!!-- au siyo!![emoji57]
Ili aje atuue sisi si ndiyo??[emoji38]Angemfungulia msikiti au madrasa tu.
Mimi mwanangu nikiwa simuelewi namfungulia kanisa awe kama yule mchungaji wa Kenya McKenzie
Kuliko kina mackenzie au siyo??Hili pepo linadanyanga watu sana wanakuwa makatili na wataenda motoni wote. Hakuna Mungu hapo.
Madingi huwa tunaisoma ramani mapema na kuamua kuheshimu msimamo wa mtu kwa kukaa kimya na kumuacha afanye kille kimfaacho. Maana kama vile mdingi asivyopenda kupangiwa na yeye baada ya juongea mara mbil8 tatu huamua kumuacha dogo aishi maisha yake.Sijui kwanini mababa huwa wanadharaulika. Mzee wa watu alishamuona dogo na uchizi wake akaamua kumpotezea mkamuona fala mzee wa watu mkaenda kukopa kumsomesha dogo. Ukute mkatoa na kashfa kibao kwa mshua. Haya sasa mkakope tena mumtibie dogo afya ya akili.
Wale Wafenge wakiketa shinda sana kule Kusini, ila kwa kile Majeshi yetu yalichokua yanakifanya kule, nashauri chimbeni kaburi mzike nguo zake.Hatujui yupo hai au amekufa, yaani hakuna tunachojua
Alipeleke polisi likanyolewe hyo mindevu kwa nguvuDogo kamzingua mama yake sana
Mitume na manabii watamrisha wata mvesha, dini Kila mtu anaifuata lakini isikufanye uwe mrevi wa dini. Kwasababu dini zote znasisitza waumini wafanye kazi.Ndio madhara ya kusomesha mtoto ukitegemea akiajiriwa upate sehemu ya mshahara wake, mimi nilidhani mvuta banghe mwizi mlevi mzizi kumbe kachagua njia nzuri sana ya mitume na manabii, ifahamike kusoma sio lazima uajiriwe huyo mama asimkatie tamaa amuulize kazi anayoiweza amuwezeshe tu
Halafu huyo dada yake ashukuru mungu Bado ana kazi.mimi Kuna familia jirani walikuwa na watoto wawili wa kike na kiume.Baba alikuwa mfanyabiashara na mama mwalimu.mtoto wa kiume alisomea mambo ya uchumi baadae akaishia kwenye ushoga.wa kike alisomea Sheria lakini Hana kazi saivi ni tena.baba alifungwa Kwa kosa la uhujumu uchumi.kwa hivyo watu Wana shida kweliSasa huzuni ni kuwa mdogo wake hana kazi au ni hela aliyoipoteza kusomesha? Kifupi pesa ukishaitumia hovyo, kama ulihonga, ulinywea pombe, uliibiwa, uliingiza mahali sio sahihi hutakiwi kuiwaza, wewe fikiria jinsi ya kupata nyingine na uendelee kuitafuta,kwakuwa ile haitarudi tena hata kama utapiga kelele.....