Dada zangu mnavyojichubua ngozi, Mungu anawaona

Mjinga kabisa huyu kwenye ublakish wake ningeweza muongo hata Alteza.....alivyobadirika....hata bure sipigi
 
Ila mi naona alivo kuwa mweupe kawa vizuri kweli
Asa sijui ndo macho yangu tuu!!!
 
Ila baada ya kukobolewa kamekua kazur mbna
 
Na huyo ndio celebrity gani?
 
Siku hizi Mtoto akizaliwa huna haja ya kuhoji akiwa mweusi tii wakati baba na mama weupeee peee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…